Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

Strategically jimbo la Arusha linatakiwa na CCM na inawezekana alipewa ukuu wa mkoa kama maandalizi ya kuja kuchukua Jimbo who knows... Siasa ni mikakati iwe ni kwa njia chafu au safi itategemea mazingira.. ukiwa umesoma political science utanielewa kwa haraka.... Chadema wanapaswa kulijua hilo na nitashangaa ikiwa hawakulitamhua mapema.

Yah najaribu kukuelewa, unazungumza kitaalam ila ccm ni washamba na wanajua wamekataliwa na wapiga kura sehemu nyingi sana.

Hawana mkakati wowote wa maana wa kushinda uchaguzi kwa process ya free n fair election isipokuwa kwa wizi na matumizi ya mabavu.
 
Msema kweri ni mpenzi wa Mungu. Alusha hoyee Alusha hoyee Alusha hoyeeeeeee
 
Kumuamini meko lazima uwe mjinga kama wanaccm,iko siku atasema hajawahi kuishi tanzania na ccm watashangilia kama mazuzu
 
kldfjifjiv dkdskdsfif klwqjkjieo wejknfjkefw
dskfekg lkkkl lkmwkj jm kdmklsjkfd kdfnfijewin;eowjgeer
fd;eglr
3p-5489fmfknewiuirhej
fb.;dllopip klejeoiuoi43i3pk4elfd;krepoirewpo
df']p[epoe
Wakati mwingine tunalazimika kuandika maneno yasiyo eleweka ili tusieleweke na majamaa.
ni kweli jamaa yangu na sasa yameongezeka mpaka yanajisahau
yameshalazimisha JF kuwa Jukwaa la ajabu, kujipuumzikia ndio fumbo la mjanja
shikilia kichinjio chako cha trh 28
 
Kwa hiyo Magufuli ndiye mjumbe mkuu wa kupitisha na kukata watu?

Na kama kumpitisha mtu ni kutomchukia, kutompitisha ni kumchukia?

Maana katika kujibu swali hili kazua swali jingine.

Wale ambao hajawapitisha kama kina Bashite na Adadi Rajabu, tena kwa Adadi Rajabu alikuwa incumbent, hao anawachukia?
Ndo tafsiri yake ya moja kwa moja....one man show
 
Magufuli sio muongo. Anachokifanya ni kujiona yeye ana akili nyingi kuliko watu wote na anaweza kuwaambia kitu chochote wakati wowote na watu wakamuamini na kumshangilia.

Anachofanya hiki ni zaidi ya uongo na wala sio usahaurifu. Huu ni ugonjwa
Bora anayeumwa sleeping sickness
 
Kama Mrisho Gambo atanyimwa kura na watu wa Arusha anapaswa kumlaumu Magufuli.

Kama kuna mtu anadhani Magufuli amemfanyia kampeni Gambo ukweli ni kwamba amemuharibia na wananchi wataamini hawa wote wawili ni waongo na matapeli watupu.

Lema anakwenda kuwamaliza na clip za nyuma halafu atawawekea hii ya leo, kura zitakapopigwa mtakumbuka maandishi yangu.

Huyu mzee sijui ana matatizo gani huwa sielewi kabisa.
Kura hazipigwi mitandaoni subiri tarehe 29 mchana moshi mweupe utakuwa unarindima pale jiji ,ccm tunajambo letu haujajua nguvu ya ccm bado ?atutaki malalamiko kuanzia tarehe 29
 
Back
Top Bottom