gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,892
- 5,946
Strategically jimbo la Arusha linatakiwa na CCM na inawezekana alipewa ukuu wa mkoa kama maandalizi ya kuja kuchukua Jimbo who knows... Siasa ni mikakati iwe ni kwa njia chafu au safi itategemea mazingira.. ukiwa umesoma political science utanielewa kwa haraka.... Chadema wanapaswa kulijua hilo na nitashangaa ikiwa hawakulitamhua mapema.
Yah najaribu kukuelewa, unazungumza kitaalam ila ccm ni washamba na wanajua wamekataliwa na wapiga kura sehemu nyingi sana.
Hawana mkakati wowote wa maana wa kushinda uchaguzi kwa process ya free n fair election isipokuwa kwa wizi na matumizi ya mabavu.