Rais Magufuli azindua mradi wa maji Kagongwa - Kahama

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Rais John Magufuli akizindua mradi wa maji ulioko Kagongwa, Isaka - Kahama

Mradi umegharimu takriban Tsh bilioni 23.157 fedha ambazo zimetolewa na serikali ya Tanzania. Matenki yanajaza lita milioni 1.6

Serikali ilitoa tsh. 24 mkandarasi alitumia Tsh bilioni 23.157

EC44AB68-AB1A-4441-817E-7CE28F014479.jpeg
52F66ADF-6091-47EE-BA1B-F5F7AC6D2644.jpeg
33345B97-4629-4D33-BAD0-376BA31AB27B.jpeg
220A8FFF-7EFE-46D3-AC30-F747CD32AAA0.jpeg
 
Mr uzinduzi namm nimejenga choo jamani nahitaji mtu wa kukizindua kwetu choo ni kitu kikubwa mno
 
Back
Top Bottom