Pezutto
Senior Member
- Sep 3, 2016
- 187
- 201
Mkuu una Identities ngapi!?Jamaa aliwaambia wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya asiwaone barabarani... anataka kumuona Rpc peke yake kwenye msafara....maafsa wa polisi walikuwepo bt ilikuwa ni kwa utashi wa rpc... Afuu jamaa alipofika nzega akagundua njia nzima wapo askar mpaka mwanza akabadilisha barabara na kupitia njia ya kahama ushirombo mpaka geita..hayo maamuzi yalifanyika baada ya kutoka nzega.. yaani hakuta mambo meeengiiii kama bwana yuleeee....