Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Sifa za kimaandaziKuna siku nilimshuhudia akimshua mwanaye ktk gari binafsi atembee kwa miguu hadi shule so sishangai.
Big up Mr. President you have my support on that matter.
Sifa za kimaandaziKuna siku nilimshuhudia akimshua mwanaye ktk gari binafsi atembee kwa miguu hadi shule so sishangai.
Big up Mr. President you have my support on that matter.
Itifaki hairuhusu japo si mwana usalama ila najua so no more questions on that.Na kwanini wasipande gari moja na mama? hapa kuna shida
Africa kazi tunayoItifaki hairuhusu japo si mwana usalama ila najua so no more questions on that.
Umenena mkuu. Watuambie sasa. Misifa tuMagari 6 ina maana mkuu wa mkoa wa Tabora na mkuu wa wilaya ya Nzega na watumishi wengine hawakuwepo? Mkuu wa mkoa wa shinyanga na mkuu wa wilaya pia hakuwepo? Maafisa police nao hawakuwepo? ccm bana
Hajabana mbona!Kubana matumizi