vita ya uganda na tanzania na vita anayopigana magufuli/nyerere junior ni vita mbili tofauti na ndio maana magufuli anahitaji maombi ili apate ulinzi wa mungu.
Magufuli anapigana vita na adui wa ndani,wengine anaweza akawa anacheka nao na asijue kuwa ni adui na ndio maana anahitaji kuombewa.
Vita zote ni mbaya ila kupigana na unaowajua na usiowajua kuwa ni adui ni hatari zaidi.
Hee leo hii mnasema urais ni ukakamavu,makubwa haya,si nyie mlikua mkisema ikulu hakuna kubeba zege?,tena mkasema hata lowassa akiwa kwenye machela mtamchagua??!!.sasa huyo lowasa angeingia ikulu na vile alivyokua akitetemeka huo ukakamavu angeutoa wapi?najiuliza tu,magufuli alisimama na kuhutubia kwa saa karibia mbili,haya lowasa angewezea wapi na yeye dk 10 tu zilikua mtihani??!!.
Unasema urais ni ukakamavu wkt mnataka kumpeleka lowasa ikulu hamkuliona hilo?
Sio kila vita inapiganwa kwa bunduki na mabomu,vita nyingine silaha inayohitajika ni maombi.
​wangesema hotuba ipo katika mtandao nendeni mka download