Rais Magufuli anahitaji maombi yako

Rais Magufuli anahitaji maombi yako

queenkami

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2010
Posts
1,857
Reaction score
1,407
Hii ni mara ya kwanza tokea nijue jema na baya kwa moyo wangu ku-fall in love na kiongozi wa CCM,siku zote niliichukia CCM na viongozi wake wote na mambo yake yote.

Hata hivyo they say never say never,today the same me, I bodly say NAMPENDA MAGUFULI KWA MOYO WANGU WOTE,najuta kwanini sikupiga kura,laiti ningejua ningempigia,hata hivyo akiendelea hivi na kasi hii hakuna shaka 2020 he shall have my big and fat vote.

Hata hivyo kasi ya rais wetu na nia yake ya kutaka kutekeleza ahadi zake inanifurahisha na kuniogopesha at the same time.

Nafurahia maendeleo anayotaka kutuletea ila ili atuletee hayo maendeleo inabidi ahatarishe masilahi ya watu ambao yeye mwenyewe amesema ni wazito which means anahatarisha maisha yake.

Kama kweli rais wetu kipenzi hizi sio nguvu za soda na kama kweli ana nia na malengo ya kufanya aliyoyaahidi basi maisha yake yako hatarini.

Imagine issue yakutaka kusambaratisha drug empires na ufisadi ilivyo hatari.
Druglords ni majitu makatili na yaliyo tayari hata kuungana na kuhakikisha rais wetu wanam silence kwa namna yeyote ile.Its a war.

Sometimes natamani rais wetu kipenzi aiweke pending issue ya madawa ya kulevya kwanza maana wasije wakatuulia rais wetu kabla hajatuletea maendeleo ambayo nina amini ana uwezo na nia.

Kwa maana hiyo naomba kila mwenye mapenzi na rais wetu kila anapoamka na kusali amuweke rais wetu katika maombi.

Huyu baba bila ulinzi na msaada wa Mungu atashindiwa katikati na hasara ni yetu sisi.

EEH MUNGU BABA MUUMBA WA MBINGU NA NCHI KWANZA ASANTE KWA KUTUPATIA RAIS HUYU MAGUFULI.
MPE ULINZI WAKO MAANA WANAOTAKA ASHINDWE SI WENGI ILA BAADHI WANA NGUVU KIBINADAMU HATA ZA KUMDHURU.
EEH BABA MPE HEKIMA ZA KUCHAGUA TEAM ITAKAYOMSUKUMA MBELE NA SI KUMRUDISHA NYUMA.
MPE PUA ZA KIROHO ZA KUWANUSA WENYE TABIA ZA KILAFI NA KIFISADI ILI AWAEPUKA KTK BARAZA LAKE.
EE

BABA MUNGU MUONGOZE AFANYE YALIYO SAHIHI MAANA YEYE NI BINADAMU BILA MSAADA WAKO ANAWEZA KUFANYA MAKOSA HATA BILA KUKUSUDIA.

MUNGU BABA NAMALIZIA KWA KUKUOMBA UGUSE ROHO ZA WABUNGE WETU WOTE WAKATAE POSHO MAANA ZINATUUMIZA SISI WATANZANIA WENGINE.

WEKA HAYA NA SONI KTK NYUSO ZA WABUNGE HAWA WANAOTAKA HELA WAKATI RAIS WETU ANAHANGAIKA KUFANYA KILA NAMNA ILI KUSAVE HELA ILI KUSAIDIA WATANZANIA WOTE.

MUNGU MWENYE ENZI WAONESHE WABUNGE WETU KUWA HIZO POSHO HATA KAMA NI ZA 'HALALI'KIKATIBA ILA KIUHALISIA NA HALI YA NCHI ILIVYO HUO NI WIZI, UROHO, UBINAFSI,KUTOJALI WENYE SHIDA NA UFISADI.

NAMUWEKA MWANAO Zitto na yule wa Singida mikononi mwako,wang'arishe na uzidi kuwainua kwa manufaa ya taifa hili.

Asante baba Mungu kwa sababu nina amini utakwenda kutenda na jina lako lihimidiwe.

AMEN.
 
Naomba itungwe sheria ya kukataza kufananaisha Rais Julius Nyerere na kila unayedhani unaweza kuropoka. Haya ni matuis kwa mtu ambaye kila mmoja hata maadui zake walimkubali kwamba ni baba wa taifa.

Hivi unaweza kumfananisha Nyerere kwa usanii wa kutembelea Muhimbili, kama si uwendawazimu ni nini hiki? Nyerere alikuwa anabishana na wasomi wa dunia hii kwa hoja. Marais wengine wanakimbia wasomi.


Mimi nafikiri huyo Rais wako kamfananishe na Idi Amin maana Idi Amini ndiye Rais pekee aliyetumia misuli yake kusema apigane ngumi na Nyerere ili askari wasiumie vitani na kubana matumizi. Idi Amini akaanza mazoezi ya push-up ili kumkabili Nyerere.

Sasa ni Rais gani hapa Tanzania anajua push-up kuliko Idi Amini. Peleka uozo wako kule. Julius Nyerere hakuwahi kutuuhumiwa kuiba kura hata kwa tetesi.

Koma kumfananisha Nyerere na kila mtu unayedhani mdomo wako unaweza kumtamka kama unavyoweza kutoa harufu chafu.
 
Nadhani ww umelogwa siyo bure, mtu katoa maoni yake wewe kama umpendi na unaona ni usanii kajinyonge tu
 
Naomba itungwe sheria ya kukataza kufananaisha Rais Julius Nyerere na kila unayedhani unaweza kuropoka. Haya ni matuis kwa mtu ambaye kila mmoja hata maadui zake walimkubali kwamba ni baba wa taifa.

Hivi unaweza kumfananisha Nyerere kwa usanii wa kutembelea Muhimbili, kama si uwendawazimu ni nini hiki? Nyerere alikuwa anabishana na wasomi wa dunia hii kwa hoja. Marais wengine wanakimbia wasomi.


Mimi nafikiri huyo Rais wako kamfananishe na Idi Amin maana Idi Amini ndiye Rais pekee aliyetumia misuli yake kusema apigane ngumi na Nyerere ili askari wasiumie vitani na kubana matumizi. Idi Amini akaanza mazoezi ya push-up ili kumkabili Nyerere.

Sasa ni Rais gani hapa Tanzania anajua push-up kuliko Idi Amini. Peleka uozo wako kule. Julius Nyerere hakuwahi kutuuhumiwa kuiba kura hata kwa tetesi.

Koma kumfananisha Nyerere na kila mtu unayedhani mdomo wako unaweza kumtamka kama unavyoweza kutoa harufu chafu.

Huyo ndo Johm Worker aka NYERERE JUNIOR hutaki unaacha.

Hapa kazi tu.
Speed ikiendelea hivi hivi hadi next year Dec nachukua rasmi kadi ya CCM.
Halafu frustration zako za maisha kutokwa povu mtandaoni unajizidishia matatizo tu.
Take it easy and enjoy the ride
 
Hili ndio jibu kwa nini nchi hii haijaendelea. Wapo watu wanaweza kupelekwa na upepo kulia kushoto na wasijiulize kwa nini?
 
NITAMWOMBEA SANA MUNGU PALE TU,ATAKAPO OPITIA UPYA MIKATABA YA GESI NA MAFUTA NA KUIWEKA HADHARANI!
ii
 
Namuombea rais wangu. Hakika yeye ni tumaini langu katika kuiona Tanzania mpya.
 
Hili ndio jibu kwa nini nchi hii haijaendelea. Wapo watu wanaweza kupelekwa na upepo kulia kushoto na wasijiulize kwa nini?
Hao watu niliwaona juzi juzi wakizungusha mikono na kuchagua jiwe.
 
Kwakweli ni kumuombea kwa Mungu ampe ulinzi!
Pole zao akina Mdanganywa, laki si pesa, Rosemarie and co wenye jicho la husda ambao wao hakuna jema litafanywa na Magufuli wakalikubali! Mwenyezi Mungu awasamehe bure!!!
 
Hii ni mara ya kwanza tokea nijue jema na baya kwa moyo wangu ku-fall in love na kiongozi wa CCM,siku zote niliichukia CCM na viongozi wake wote na mambo yake yote.

Hata hivyo they say never say never,today the same me, I bodly say NAMPENDA MAGUFULI KWA MOYO WANGU WOTE,najuta kwanini sikupiga kura,laiti ningejua ningempigia,hata hivyo akiendelea hivi na kasi hii hakuna shaka 2020 he shall have my big and fat vote.

Hata hivyo kasi ya rais wetu na nia yake ya kutaka kutekeleza ahadi zake inanifurahisha na kuniogopesha at the same time.

Nafurahia maendeleo anayotaka kutuletea ila ili atuletee hayo maendeleo inabidi ahatarishe masilahi ya watu ambao yeye mwenyewe amesema ni wazito which means anahatarisha maisha yake.

Kama kweli rais wetu kipenzi hizi sio nguvu za soda na kama kweli ana nia na malengo ya kufanya aliyoyaahidi basi maisha yake yako hatarini.

Imagine issue yakutaka kusambaratisha drug empires na ufisadi ilivyo hatari.
Druglords ni majitu makatili na yaliyo tayari hata kuungana na kuhakikisha rais wetu wanam silence kwa namna yeyote ile.Its a war.

Sometimes natamani rais wetu kipenzi aiweke pending issue ya madawa ya kulevya kwanza maana wasije wakatuulia rais wetu kabla hajatuletea maendeleo ambayo nina amini ana uwezo na nia.

Kwa maana hiyo naomba kila mwenye mapenzi na rais wetu kila anapoamka na kusali amuweke rais wetu katika maombi.

Huyu baba bila ulinzi na msaada wa Mungu atashindiwa katikati na hasara ni yetu sisi.

EEH MUNGU BABA MUUMBA WA MBINGU NA NCHI KWANZA ASANTE KWA KUTUPATIA RAIS HUYU MAGUFULI.
MPE ULINZI WAKO MAANA WANAOTAKA ASHINDWE SI WENGI ILA BAADHI WANA NGUVU KIBINADAMU HATA ZA KUMDHURU.
EEH BABA MPE HEKIMA ZA KUCHAGUA TEAM ITAKAYOMSUKUMA MBELE NA SI KUMRUDISHA NYUMA.
MPE PUA ZA KIROHO ZA KUWANUSA WENYE TABIA ZA KILAFI NA KIFISADI ILI AWAEPUKA KTK BARAZA LAKE.
EE

BABA MUNGU MUONGOZE AFANYE YALIYO SAHIHI MAANA YEYE NI BINADAMU BILA MSAADA WAKO ANAWEZA KUFANYA MAKOSA HATA BILA KUKUSUDIA.

MUNGU BABA NAMALIZIA KWA KUKUOMBA UGUSE ROHO ZA WABUNGE WETU WOTE WAKATAE POSHO MAANA ZINATUUMIZA SISI WATANZANIA WENGINE.

WEKA HAYA NA SONI KTK NYUSO ZA WABUNGE HAWA WANAOTAKA HELA WAKATI RAIS WETU ANAHANGAIKA KUFANYA KILA NAMNA ILI KUSAVE HELA ILI KUSAIDIA WATANZANIA WOTE.

MUNGU MWENYE ENZI WAONESHE WABUNGE WETU KUWA HIZO POSHO HATA KAMA NI ZA 'HALALI'KIKATIBA ILA KIUHALISIA NA HALI YA NCHI ILIVYO HUO NI WIZI, UROHO, UBINAFSI,KUTOJALI WENYE SHIDA NA UFISADI.

NAMUWEKA MWANAO Zitto na yule wa Singida mikononi mwako,wang'arishe na uzidi kuwainua kwa manufaa ya taifa hili.

Asante baba Mungu kwa sababu nina amini utakwenda kutenda na jina lako lihimidiwe.

AMEN.

NITAUNGANA NA WW Ikiwa tu Magufuli atarudisha mjadala wa Rasimu ya maoni ya wananchi Bungeni na kutupilia mbali rasimu ya Samwel Sitta na wahuni wenzake,hapo nitasali kumuombea na kusema anafanana na Mwl.Nyerere kinyume na hapo sitathubutu kamwe kumuombea maana atakuwa ni walewale .
 
Hao watu niliwaona juzi juzi wakizungusha mikono na kuchagua jiwe.
Kudhani watu milioni 6+ ni wajinga bali watu milioni 8 (chakachua inclusive) ndio wenye akili katika nchi you need your head examined.
 
Nadhani ww umelogwa siyo bure, mtu katoa maoni yake wewe kama umpendi na unaona ni usanii kajinyonge tu
Chuki zake zinaonyesha yupo kwenye kundi linalo kemewa kwenye MAOMBI!

Si unajua tena MAPEPO yanavyo lipukaga maombi ya nguvu yakiyaguza - binadamu wa kawaida hawezi kutoa majibu ya ajabu kama yale.
 
Kudhani watu milioni 6+ ni wajinga bali watu milioni 8 (chakachua inclusive) ndio wenye akili katika nchi you need your head examined.
Ha ha ha, wewe pumba kabisa; yaani unakanyaga mafuta kama unakanyaga mashine ya unga? Kabla ya kuandika utumbo ni vyema kwanza ukajitafakari. Umeona lakini ulivyojikanganya hapo awali; au ndio umeamua kujitoa akili ilhali basi tu?
 
Naomba itungwe sheria ya kukataza kufananaisha Rais Julius Nyerere na kila unayedhani unaweza kuropoka. Haya ni matuis kwa mtu ambaye kila mmoja hata maadui zake walimkubali kwamba ni baba wa taifa.

Hivi unaweza kumfananisha Nyerere kwa usanii wa kutembelea Muhimbili, kama si uwendawazimu ni nini hiki? Nyerere alikuwa anabishana na wasomi wa dunia hii kwa hoja. Marais wengine wanakimbia wasomi.


Mimi nafikiri huyo Rais wako kamfananishe na Idi Amin maana Idi Amini ndiye Rais pekee aliyetumia misuli yake kusema apigane ngumi na Nyerere ili askari wasiumie vitani na kubana matumizi. Idi Amini akaanza mazoezi ya push-up ili kumkabili Nyerere.

Sasa ni Rais gani hapa Tanzania anajua push-up kuliko Idi Amini. Peleka uozo wako kule. Julius Nyerere hakuwahi kutuuhumiwa kuiba kura hata kwa tetesi.

Koma kumfananisha Nyerere na kila mtu unayedhani mdomo wako unaweza kumtamka kama unavyoweza kutoa harufu chafu.

We lofa lazima ni mmoja wa wahanga wa kukatwa safari za sirikalini..
 
Naomba itungwe sheria ya kukataza kufananaisha Rais Julius Nyerere na kila unayedhani unaweza kuropoka. Haya ni matuis kwa mtu ambaye kila mmoja hata maadui zake walimkubali kwamba ni baba wa taifa.

Hivi unaweza kumfananisha Nyerere kwa usanii wa kutembelea Muhimbili, kama si uwendawazimu ni nini hiki? Nyerere alikuwa anabishana na wasomi wa dunia hii kwa hoja. Marais wengine wanakimbia wasomi.


Mimi nafikiri huyo Rais wako kamfananishe na Idi Amin maana Idi Amini ndiye Rais pekee aliyetumia misuli yake kusema apigane ngumi na Nyerere ili askari wasiumie vitani na kubana matumizi. Idi Amini akaanza mazoezi ya push-up ili kumkabili Nyerere.

Sasa ni Rais gani hapa Tanzania anajua push-up kuliko Idi Amini. Peleka uozo wako kule. Julius Nyerere hakuwahi kutuuhumiwa kuiba kura hata kwa tetesi.

Koma kumfananisha Nyerere na kila mtu unayedhani mdomo wako unaweza kumtamka kama unavyoweza kutoa harufu chafu.

Pole sana. Naona umeumia, lkn kumbuka kwetu ni nchi kwanza. Viva Dr. Magufuli
 
NITAUNGANA NA WW Ikiwa tu Magufuli atarudisha mjadala wa Rasimu ya maoni ya wananchi Bungeni na kutupilia mbali rasimu ya Samwel Sitta na wahuni wenzake,hapo nitasali kumuombea na kusema anafanana na Mwl.Nyerere kinyume na hapo sitathubutu kamwe kumuombea maana atakuwa ni walewale .

Utabana mwishoe utaachia tu...
 
Pole sana. Naona umeumia, lkn kumbuka kwetu ni nchi kwanza. Viva Dr. Magufuli

We lofa lazima ni mmoja wa wahanga wa kukatwa safari za sirikalini..

Kwakweli ni kumuombea kwa Mungu ampe ulinzi!
Pole zao akina Mdanganywa, laki si pesa, Rosemarie and co wenye jicho la husda ambao wao hakuna jema litafanywa na Magufuli wakalikubali! Mwenyezi Mungu awasamehe bure!!!

Jibuni hoja yangu. Ni upunguwani kumfananisha Julius Nyerere na Rais yoyote hapa Tanzania. Magufuli kafanya nini hadi sasa hivi hadi umsifie au kumponda. Mtu hata Cabinet hajaunda umekuja na upunguwani wa kumfananisha na Nyerere!

Narudia mfananishe na Idi Amini ambaye ni Rais mpiga push-up kuliko wote waliopata kutokea hapa duniani. Kisha jifunze kuwa na adabu kwa marais waliopigania uhuru hadi tumbo lako likapata wasaa wa kudondosha vitu chooni.

Sichukii Magufuli kushinda, nachukia kumfananisha na Julius Nyerere, na hata kama baba yangu angechaguliwa kuwa Rais na mkajipendekeza kumsifia kwa kutembelea Muhimbili tu, nigetoa majibu hayahaya.
 
Back
Top Bottom