Rais Magufuli anahitaji maombi yako

Rais Magufuli anahitaji maombi yako

Magufuli namuombea kila niombapo
MI NAMWOMBEZ MAMA YANGU NA WANANGU MUNGU AWAPE MAISHA MEMA SIWEZI MWOMBEA MTU ASIYE NIJALI MIMI MTANZANIA WA CHINI NASHINDIA MLO MMOJA , SHATI MOJA, MAJI HAKUNA , ALAFU NIKAE NAMWOMBEA MTU FULANI KISA NAMWOGOPA. NITAMWOMBEA PALE KELO ZANGU ATAZIFUTA NA KUNILETEA MAENDELEO NA SIASA SAFI
 
Viongozi wetu wamekuwa wakituasa tuwaombee kwa Mwenyezi Mungu. Tatizo hawatuelezi tuwaombee wapate kitu gani. Mimi napendekeza tuwaombee kuwa na HEKIMA.

Biblia inatueleza kwamba Mwenyezi Mungu alimpatia Mfalme Suleimani fursa ya kuomba chochote. Mfalme Suleimani aliomba apatiwe HEKIMA. Ombi la Suleiman lilimpendeza Mwenyezi Mungu na Suleiman akapatiwa HEKIMA na kuongezewa kila kitu ikiwa ni pamoja na Amani na Utajiri.

HEKIMA ninayowaombea ni ile itokayo juu kwa Mwenyezi Mungu. Mtume Yakobo anaelezea hekima itokayo juu kuwa ni ile iliyo safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.

Wewe anapendekeza tuwaombee viongozi wetu wapate kitu gani?
 
sinaga mudah wakuombea mtu yy ananipa nn

Ndugu yangu nakusihi utafute huo muda kama unaamini ktk maombi/sala kwani uongozi mzuri unakutengenezea mazingira mazuri ya kufanikisha mambo yako na uongozi mbaya unajenga mazingira ya kukukwamisha
 
Sitamuombea yeyote miongoni mwao. Wameajiriwa na wananchi na wanalipwa mishahara kwa kazi wanazofanya. Waacha kulia lia wafanye kazi tulizowapa kwa ridhaa yao.
 
Rais Dkt John Pombe Magufuli amebakiza miaka mitatu ya n'gwe ya kwanza kuisha, na inaonekana dhahiri kabisa Watanzania wengi watampa nafasi hiyo kwa Mara ya pili.
Akiwa amekuja na staili na mikakati ya aina yake ya kuendesha serikali yake, kupambana vikali na ufisadi na rushwa, kupambana na wahujumu uchumi, pamoja na kuijenga Tanzania ya viwanda.
Na katika vita hivyo, anatengeneza maadui wengi.
SWALI NI AINA GANI BASI YAMAOMBI WATANZANIA WAMUOMBEE..
Nafikiri lingekuwa jambo la msingi na la busara pia kwa sasa kumuombea Rais wetu Mungu ampe HEKIMA na BUSARA ambayo ni dhahiri kwa sasa kusema ndio kitu alichopungukiwa.
He has the right vision for a better Tanzania and he lacks wisdom but he's Egocentric
 
we jamaa gari yako iwage na bullet proof!maana wasiojulikana wapo kazini
 
Mods msifute huu Uzi
Nimeuliza tu mzee wa kuomba aombewe Leo Jumapili katembelea kanisa gani?
Manake Jamaa kila kanisa yeye yumo itakua vizuri akienda na misikitini si anajua nchi hii kuna wakristo na waislamu
So atimbe na msikitini pia akaombe aombewe.

Pray for Lissu
 
Back
Top Bottom