Rais Magufuli anahitaji maombi yako

Rais Magufuli anahitaji maombi yako

utafiti unaonyesha Marais wenye doctorate huwa hawana uwezo wa kuongoza maana hujiona wao ndio wanajua kila kitu na mwishowe huwa wanaharibu kila kiltu-timw will tell.Ndio maana Nchi kama USA yenye wasomi wengi duniani kati ya Ma Rais 44 ni 4 tu ndio walikuwa na PHD
 
UPINZANI AMBAO HAUJIAMINI HATUUTAKI TANZANIA...

UPINZANI AMBAO HAUELEWEKI UNASIMAMIA AGENDA GANI NI WA KUPUUZWA...HAUWEZI KUTUVUSHA.


UPINZANI AMBAO UNATETEA MAFISADI NA WAVIVU HUKU UKIMUITA DIKITETA ANAYECHUKULIA HATUA MAFISADI UNAPASWA KUTOUNGWA MKONO NA WANAOLITAKIA MEMA TAIFA LETU.
Lugumiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kwa dhamira aliyonayo Rais Magufuli kwa wananchi na taifa la Tanzania nina uhakika Mwenyezi Mungu atamlinda kama alivyomfikisha kwenye nafasi ya Urais.
Taifa letu lilikuwa limefikia hali mbaya sana kiasi ambacho chochote cha haramu kilikuwa cha halali na cha halali kilikuwa cha haramu, bila kumpata kiongozi shupavu na jasiri kama Rais Magufuli Tanzania ilikuwa inaelekea pabaya sana. Ni jambo la kusikitisha sana kuona vyama vya upinzani kuanza kupinga mabadiliko aliyoyaleta na anaendelea kuyaleta hapa Tanzania, kauli mbiu za vyama vya upinzani ilikuwa ni mabadiliko na kwasasa Rais Magufuli anatekeleza kauli mbiu hiyo bila kujali itikadi ya Chama chake cha CCM. Naomba wanasiasa bila kujali itikadi ya vyama vyao wamuunge mkono huyu ndugu yetu Rais Magufuli kwa faida ya watoto wetu na vizazi vyetu.
Katika bara la Afrika ni nadra sana kumpata kiongozi aina ya Rais Magufuli sasa tusipotezee baraka hii Mwenyezi Mungu aliyetupa, na ninawashauri viongozi waliokuwa wamekuwa na mazoea ya ufisadi the honeymoon is over wabadilike kwa faida ya nchi hii.
Mungu hana upendeleo atatulinda sote.
 
Kwa dhamira aliyonayo Rais Magufuli kwa wananchi na taifa la Tanzania nina uhakika Mwenyezi Mungu atamlinda kama alivyomfikisha kwenye nafasi ya Urais.
Taifa letu lilikuwa limefikia hali mbaya sana kiasi ambacho chochote cha haramu kilikuwa cha halali na cha halali kilikuwa cha haramu, bila kumpata kiongozi shupavu na jasiri kama Rais Magufuli Tanzania ilikuwa inaelekea pabaya sana. Ni jambo la kusikitisha sana kuona vyama vya upinzani kuanza kupinga mabadiliko aliyoyaleta na anaendelea kuyaleta hapa Tanzania, kauli mbiu za vyama vya upinzani ilikuwa ni mabadiliko na kwasasa Rais Magufuli anatekeleza kauli mbiu hiyo bila kujali itikadi ya Chama chake cha CCM. Naomba wanasiasa bila kujali itikadi ya vyama vyao wamuunge mkono huyu ndugu yetu Rais Magufuli kwa faida ya watoto wetu na vizazi vyetu.
Katika bara la Afrika ni nadra sana kumpata kiongozi aina ya Rais Magufuli sasa tusipotezee baraka hii Mwenyezi Mungu aliyetupa, na ninawashauri viongozi waliokuwa wamekuwa na mazoea ya ufisadi the honeymoon is over wabadilike kwa faida ya nchi hii.
wakuu kwa kweli Magufuri sikumpa kura na nilikuwa simpendi kwa sababu ya CCM , lakini kwa sasa kazi anayofanya naiafiki 100%.Nchi ilishaoza hii na wananchi tulishalemaa na tabia mbovu, najua tutaumia kwa muda lakini baadae tutafurahia matunda yake. Mungu ambariki sana akamilishe aliyofikiria na kupanga.
 
Tutamuunga mkono kwa mambo yote yenye maslahi kwa taifa letu. Lakini kwa yale yanayoua demokrasia na utawala wa sheria kama kuzuia shughuli za kisiasa, n.k wengine hatuwezi kumuunga mkono. Hiyo ndiyo tofauti ya wanafiki na weledi.
 
Lugumiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hio ni zilipendwa sasahivi ipo single ya kuvaa tisue midomoni...
 
Leo ni jumapili, waumini wengi wa kikrsto wanafanya ibada, pia katika sala zao, kwa kuwa rais alisema tumuombee, licha ya Hotuba ya jana inayogusa maslahi ya "wazungu" tukumbuke ombi lake la kuombewa.
 
Leo ni jumapili, waumini wengi wa kikrsto wanafanya ibada, pia katika sala zao, kwa kuwa rais alisema tumuombee, licha ya Hotuba ya jana inayogusa maslahi ya "wazungu" tukumbuke ombi lake la kuombewa.
Unajielewa ndugu? Utamuombeaje MTU ambae hajui hata bei ya umeme anaotumia....kama una upendo kweli kwanini usiwaombee watu ambao hawajui siku ya leo watakula nini..au unavizia uteuzi nini
 
hata mungu atakua anacheka akisikia hayo maombi ya kumombea mukulu......
 
Kuombewa nimuhimu kwa Rais wetu
Maana ana Ongoza mchanganyiko wa watu
Wanywa Viroba, Vibendera Mafisadi, Majizi
Nikazi ngumu sana.



"Nataka hao wanaotetea maandamano watangulie wao halafu wataona cha mtemakuni’"
 
Ni kweli inatakiwa tumuombee Rais wetu maana imeonekana wazi sasa ana mapungufu mengi pamoja na kwamba yuko anapambana vizuri na mafisadi,Tumuombee ili aache kuimbinya demokrasia awaache watu waseme waliyonayo moyoni mwao na kama anauwezo ayafanyie kazi kuliko kuwazuia watu wasipaze sauti zao,Kuna shida kama watu watazuiwa kusema waliyonayo mioyoni mwao.
 
Kuombewa nimuhimu kwa Rais wetu
Maana ana Ongoza mchanganyiko wa watu
Wanywa Viroba, Vibendera Mafisadi, Majizi
Nikazi ngumu sana.



"Nataka hao wanaotetea maandamano watangulie wao halafu wataona cha mtemakuni’"
Mkuu mbona unaanza kuchanganya mambo ya kuombewa na maandamano???
 
Back
Top Bottom