mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,573
- 9,809
Wapinzani wamepigwa marufuku kuendesha shughuli zao halali za kisiasa, wanabambikiwa kesi, wanafanyiwa kila aina ya uonevu na vyombo vya dola, halafu leo kukutana na baadhi ya viongozi wa upinzani ikulu ndiyo igeuke kuwa habari kubwa, yenye kushereheshwa na picha za hamasa.
Tuelezwe mazungumzo ya viongozi hawa yalikuwa na tija gani kwa mustakabali wa Taifa letu.Tuache siasa nyepesi, tuzungumze kuhusu uwanja wenye haki na usawa kwa vyama vyote vya siasa hapa nchini, hasa tuelekeapo uchaguzi wa mwaka huu. Zaidi ya hapo itakuwa ni udwanzi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuelezwe mazungumzo ya viongozi hawa yalikuwa na tija gani kwa mustakabali wa Taifa letu.Tuache siasa nyepesi, tuzungumze kuhusu uwanja wenye haki na usawa kwa vyama vyote vya siasa hapa nchini, hasa tuelekeapo uchaguzi wa mwaka huu. Zaidi ya hapo itakuwa ni udwanzi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app