mwanaludewa
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 764
- 523
Hawajawahi kuwa na uwezo wa kumhoji mwenyekiti!Hao ni watu ndiyo Mzee!Hawaaminiki!Angejitokeza mwerevu moja akampinga Kikwete na Linda katika hili la BRN angepigiwa kelele na Lumumba kwa kudai ni usaliti!!
Leo Lumumba hao hao wataandamana Ku support