Rais Samia rudisha Tume ya mipango na Presidential Delivery Bureau kukusaidia

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,661
46,349
Hivi ni vyombo viwili muhimu sana kwa nchi yetu kuharakisha mchakato wa maendeleo kutokana na mfumo tulio nao wa utawala.

Tume ya mipango yenye wataalamu wa uchumi na biashara ambayo itahakikisha mipango mikubwa ya serikali inapangwa kitaalamu, kimkakati zaidi na kwa kuangalia rasilimali zetu vizuri.

Presidential Delivery Bureau(PDB) ni muhimu sana kwa taifa lenye mfumo centralized kama wa kwetu ambapo mambo karibia yote yanategema muongozo wa Rais. Unapokuwa na Rais asiye na hulka ya kufokafoka au kuonekana mwenye hasira kali wakati mwingine watendaji wa chini yake wanakuwa wazembe sana hasa kwenye taifa ambalo utamaduni wa viongozi kuwajibika wenyewe ni mgumu bila kusukumwa sukumwa sana.

PDB katika mazingira haya inakuwa chombo cha kumsaidia Rais katika ufuatiliaji wa karibu wa ilani, miongozo, ahadi na matamko yake. Kinakuwa kinawabana kwa karibu mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mashirika na viongozi wengine katika utekelezaji. Kinakuwa check kwa executive.

Muhimu ni vyombo hivi kujazwa na wataalamu / experts/ Technocrats badala ya wanasiasa.
 
Hivi ni vyombo viwili muhimu sana kwa nchi yetu kuharakisha mchakato wa maendeleo kutokana na mfumo tulio nao wa utawala.

Tume ya mipango yenye wataalamu wa uchumi na biashara ambayo itahakikisha mipango mikubwa ya serikali inapangwa kitaalamu, kimkakati zaidi na kwa kuangalia rasilimali zetu vizuri.

Presidential Delivery Bureau(PDB) ni muhimu sana kwa taifa lenye mfumo centralized kama wa kwetu ambapo mambo karibia yote yanategema muongozo wa Rais. Unapokuwa na Rais asiye na hulka ya kufokafoka au kuonekana mwenye hasira kali wakati mwingine watendaji wa chini yake wanakuwa wazembe sana hasa kwenye taifa ambalo utamaduni wa viongozi kuwajibika wenyewe ni mgumu bila kusukumwa sukumwa sana.

PDB katika mazingira haya inakuwa chombo cha kumsaidia Rais katika ufuatiliaji wa karibu wa ilani, miongozo, ahadi na matamko yake. Kinakuwa kinawabana kwa karibu mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mashirika na viongozi wengine katika utekelezaji. Kinakuwa check kwa executive.

Muhimu ni vyombo hivi kujazwa na wataalamu / experts/ Technocrats badala ya wanasiasa.
PDB itawajibishwa na nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kwa nini Magufuli aliiondoa Tume ya mipango!
Mantiki yako nimeielewa kwamba Kwasababu ya tabia binafsi za Rais kutokuwa jeuri kwa wateule wake basi tume hii itakwenda kumsaidia kuwamulika wateule wake?

Sio Kwasababu ya ulazima wa Tume hiyo kuwepo ispokuwa ni mapungufu ya Rais?

Tume hiyo itakaguliwa na nani?

Kwanini huyo anaeikagua tume asiwakague wateule wake?

Kama ni hitaji la kimkakati, naonga mkono na wewe.
 
Hivi ni vyombo viwili muhimu sana kwa nchi yetu kuharakisha mchakato wa maendeleo kutokana na mfumo tulio nao wa utawala.

Tume ya mipango yenye wataalamu wa uchumi na biashara ambayo itahakikisha mipango mikubwa ya serikali inapangwa kitaalamu, kimkakati zaidi na kwa kuangalia rasilimali zetu vizuri.

Presidential Delivery Bureau(PDB) ni muhimu sana kwa taifa lenye mfumo centralized kama wa kwetu ambapo mambo karibia yote yanategema muongozo wa Rais. Unapokuwa na Rais asiye na hulka ya kufokafoka au kuonekana mwenye hasira kali wakati mwingine watendaji wa chini yake wanakuwa wazembe sana hasa kwenye taifa ambalo utamaduni wa viongozi kuwajibika wenyewe ni mgumu bila kusukumwa sukumwa sana.

PDB katika mazingira haya inakuwa chombo cha kumsaidia Rais katika ufuatiliaji wa karibu wa ilani, miongozo, ahadi na matamko yake. Kinakuwa kinawabana kwa karibu mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mashirika na viongozi wengine katika utekelezaji. Kinakuwa check kwa executive.

Muhimu ni vyombo hivi kujazwa na wataalamu / experts/ Technocrats badala ya wanasiasa.
Naona unajitafutia uteuzi
 
Hivi ni vyombo viwili muhimu sana kwa nchi yetu kuharakisha mchakato wa maendeleo kutokana na mfumo tulio nao wa utawala.

Tume ya mipango yenye wataalamu wa uchumi na biashara ambayo itahakikisha mipango mikubwa ya serikali inapangwa kitaalamu, kimkakati zaidi na kwa kuangalia rasilimali zetu vizuri.

Presidential Delivery Bureau(PDB) ni muhimu sana kwa taifa lenye mfumo centralized kama wa kwetu ambapo mambo karibia yote yanategema muongozo wa Rais. Unapokuwa na Rais asiye na hulka ya kufokafoka au kuonekana mwenye hasira kali wakati mwingine watendaji wa chini yake wanakuwa wazembe sana hasa kwenye taifa ambalo utamaduni wa viongozi kuwajibika wenyewe ni mgumu bila kusukumwa sukumwa sana.

PDB katika mazingira haya inakuwa chombo cha kumsaidia Rais katika ufuatiliaji wa karibu wa ilani, miongozo, ahadi na matamko yake. Kinakuwa kinawabana kwa karibu mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mashirika na viongozi wengine katika utekelezaji. Kinakuwa check kwa executive.

Muhimu ni vyombo hivi kujazwa na wataalamu / experts/ Technocrats badala ya wanasiasa.
Unaifahamu POD au umekariri tu?

PDB ilikuwa ubabaishaji mtupu huku wakilipwa mishahara minono na hata ilipovunjwa walilipwa mafao mazito kuliko afisa wa kawaida mwenye rank sawa na wao. Havihitajiki duplications ya vyombo vingi kufanya kitu kimoja..
Hivi ni vyombo viwili muhimu sana kwa nchi yetu kuharakisha mchakato wa maendeleo kutokana na mfumo tulio nao wa utawala.

Tume ya mipango yenye wataalamu wa uchumi na biashara ambayo itahakikisha mipango mikubwa ya serikali inapangwa kitaalamu, kimkakati zaidi na kwa kuangalia rasilimali zetu vizuri.

Presidential Delivery Bureau(PDB) ni muhimu sana kwa taifa lenye mfumo centralized kama wa kwetu ambapo mambo karibia yote yanategema muongozo wa Rais. Unapokuwa na Rais asiye na hulka ya kufokafoka au kuonekana mwenye hasira kali wakati mwingine watendaji wa chini yake wanakuwa wazembe sana hasa kwenye taifa ambalo utamaduni wa viongozi kuwajibika wenyewe ni mgumu bila kusukumwa sukumwa sana.

PDB katika mazingira haya inakuwa chombo cha kumsaidia Rais katika ufuatiliaji wa karibu wa ilani, miongozo, ahadi na matamko yake. Kinakuwa kinawabana kwa karibu mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mashirika na viongozi wengine katika utekelezaji. Kinakuwa check kwa executive.

Muhimu ni vyombo hivi kujazwa na wataalamu / experts/ Technocrats badala ya wanasiasa.
 
Ukianza kuona vibaraka wa mabeberu wanashikilia bango kitu, ujue kuna upigaji mrefu na wenye uhakika. Tume kama hii inanuka rushwa.
In other words, a lobbying firm yenye meno, na ndio unaona ati iongozwe na ma expert!
na hilo pendekezo limetokana na ushauri/pendekezo la Raisi la kuruhusu taasisi za kiserikali kuajiri kivyaovyao

Hatari hii!
 
Hivi ni vyombo viwili muhimu sana kwa nchi yetu kuharakisha mchakato wa maendeleo kutokana na mfumo tulio nao wa utawala.

Tume ya mipango yenye wataalamu wa uchumi na biashara ambayo itahakikisha mipango mikubwa ya serikali inapangwa kitaalamu, kimkakati zaidi na kwa kuangalia rasilimali zetu vizuri.

Presidential Delivery Bureau(PDB) ni muhimu sana kwa taifa lenye mfumo centralized kama wa kwetu ambapo mambo karibia yote yanategema muongozo wa Rais. Unapokuwa na Rais asiye na hulka ya kufokafoka au kuonekana mwenye hasira kali wakati mwingine watendaji wa chini yake wanakuwa wazembe sana hasa kwenye taifa ambalo utamaduni wa viongozi kuwajibika wenyewe ni mgumu bila kusukumwa sukumwa sana.

PDB katika mazingira haya inakuwa chombo cha kumsaidia Rais katika ufuatiliaji wa karibu wa ilani, miongozo, ahadi na matamko yake. Kinakuwa kinawabana kwa karibu mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mashirika na viongozi wengine katika utekelezaji. Kinakuwa check kwa executive.

Muhimu ni vyombo hivi kujazwa na wataalamu / experts/ Technocrats badala ya wanasiasa.
Tume ya Mipango tu ndiyo inaweza kusaidia. P D B itaingiliana na utendaji serikalini. Rais ahakikishe Utumishi katika ofisi yake binafsi una watu madhubuti katika utendaji Serikalini na Utumishi Serikalini uko makini. Wasiofaa waondolewe. Ukianza kupandikiza taasisi ambazo haziko kwenye muundo wa serikali utakuwa na akina Makonda wengi na heshima ya Ofisi ya Rais itapungua kwa sababu ingawa watakuwa na madaraka, madaraka hayo hayatakuwa kwa mujibu wa taratibu za kisheria.
 
Mantiki yako nimeielewa kwamba Kwasababu ya tabia binafsi za Rais kutokuwa jeuri kwa wateule wake basi tume hii itakwenda kumsaidia kuwamulika wateule wake?

Sio Kwasababu ya ulazima wa Tume hiyo kuwepo ispokuwa ni mapungufu ya Rais?

Tume hiyo itakaguliwa na nani?

Kwanini huyo anaeikagua tume asiwakague wateule wake?

Kama ni hitaji la kimkakati, naonga mkono na wewe.
Naona muda sahihi wa 'mkakati' huu uliyopendekeza na ukafanyiwa kazi. Sasa unakwenda kuanza majukumu yake rasmi.

Yoda mapendekezo yenu mliyatoa kwa kuelewa kitachokuja kutokea muda mfupi mbele?
 
Naona muda sahihi wa 'mkakati' huu uliyopendekeza na ukafanyiwa kazi. Sasa unakwenda kuanza majukumu yake rasmi.

Yoda mapendekezo yenu mliyatoa kwa kuelewa kitachokuja kutokea muda mfupi mbele?
Tume ya mipango ni sawa na wizara ya mipango?
Kitila ni mtaalamu wa uchumi na mipango?
Soma paragraph ya pili ya huu uzi.
 
Back
Top Bottom