Tetesi: Rais kuwa mgeni rasmi kwenye mechi ya Yanga na Simba huko Zanzibar

Tetesi: Rais kuwa mgeni rasmi kwenye mechi ya Yanga na Simba huko Zanzibar

NgerukeAbra

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2022
Posts
2,906
Reaction score
3,672
Raisi wa Tangabar anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye dabi ya kariakoo itakayopigwa tarehe 01/03/2026 katika uwanja wa Amaan huko Zanzibar.
 
Ndicho walicholenga kupeleka kila senti ya Tanganyika huko Zanzibar, Simba wangeweza kugoma ila timu inaongozwa kisiasa zaidi
 
Siku akifa nitafanya sherehe mpaka mbwa wangu nitawanunulia nyama...ndio siku ya furaha ninayoisubiri sana
 
Back
Top Bottom