Rais Kikwete ulimwelewa Dk. Slaa?

Rais Kikwete ulimwelewa Dk. Slaa?

Suala si kukanusha tu, unakanushaje matters a lot. Mnakumbuka?????? Hawa watu wa EPA siwajui na wala sijawahi kukutana nao......!!!!!!
My take, mtu usiyemjua utajuaje kama umewahi kukutana nae au la? Mimi sijawahi kukutana na Obama kwasababu namjua Obama ni nani, na nikikutana naye nitajua kuwa nimekutana nae.
By the way, napita tu
 
slaa naye ni mtu wa mitaani tu. kwani uongo? what is so special kwa slaa? kuasi upadre? kuiba wake za watu? au kujikopesha ruzuku?

Kauli ya Rais Kikwete kuhusu tuhuma za mwanawe na dawa za kulevya aliyoitoa akizungumza na Watanzania waishio Marekani, na ambayo watu wa Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu 'wamepambana' kweli kweli kuhakikisha inapata uzito unaostahili stori 'kubwa' ya rais, inafikirisha na kuibua maswali kadhaa!

Walau kwa kuanzia tunaweza kuuliza swali moja la msingi na mengine kadhaa ya nyongeza;

1. Hivi watu wa mitaani ni akina nani, walau kwa context ya Rais Kikwete, familia yake, Taasisi ya Urais, Serikali yake, CCM na taifa letu kwa ujumla?

i. Mara ngapi huwa anawapuuza watu wa mitaani ambao sisi wengine tunaamini kuwa ndiyo wananchi wake?

ii. Huko mitaani si ndiyo barabarani? Kwa hiyo anathibitisha kuwa watu ambao yeye anawathamini na anaweza kuwasikiliza ni wale ambao HUWA HAKUTANI barabarani? Ref. Hatukukutana barabarani.

iii. Makabrasha ya Serikali yake na CCM na hata kauli za mawaziri wake, watendaji wake na viongozi wake ndani ya chama zinazosema 'watoto wa mitaani'...huwa zinamaanisha ni watu wa kupuuzwa vile?

Rais anasema urais ni taasisi kubwa, kweli kabisa watu makini watakubaliana naye, lakini watauliza;

iv. Rais ameanza kujua lini kuwa taasisi ya urais ni kubwa?

v. Je aliposema taasisi ya urais ni kubwa, alimaanisha inapaswa kulinda heshima yake, kutumia mamlaka yake ipasavyo kuongoza?

Maana ukubwa wa taasisi hiyo haijawahi kuwa issue kubwa tangu aingie madarakani. Watu wa mitaani kama alivyowaita yeye, wanachohoji ni uadilifu, UWAJIBIKAJI, heshima ya taasisi hiyo, ni mamlaka ya taasisi hiyo (imewahi kusamehe wakosaji wa jinai, EPA, badala ya kufikishwa mahakamani, imeshindwa kuwashughulikia majangiri, iliahidi maisha bora kwa Watanzania na sasa inayumbisha na hata kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya) n.k.

Lakini pia Rais Kikwete katika majibu yake bila shaka ametusaidia kufumbua fumbo aliloliweka Dk. Slaa.

Mwaka juzi Dk. Slaa alipomtaka Rais Kikwete atoe kauli juu ya tuhuma kwamba mtoto mmoja wa kigogo mkubwa serikalini alikuwa amekamatwa na dawa za kulevya huko China, taarifa za vyombo vya habari vilivyomnukuu havikutaja jina la mtoto huyo!

Majibu ya Rais Kikwete yamekwenda hatua mbele kadhaa na kutuondolea utata wa jina la aliyekamatwa na kigogo huyo ni nani!

Watu wa mitaani wataendelea kuihoji taasisi yao ya urais kwa sababu wanakumbuka maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere juu ya umuhimu wa taasisi hiyo! Tumwachie Rais Kikwete kazi ya kuwapuuza watu wa mitaani. Wananchi.
 
ama kweli nimeamini nyie ni MBWA.

Mimi sikuwahi kuamini kwamba huyu mgeni kutoka Msoga alifanya kitu cha namna hii, nilichukulia ni bahati mbaya tu kutokana na mikosi yake watu kudhania kwamba alifanya kitu cha namna hiyo.

Lakini kutokana na majibu yake, sasa naamini kwamba yeye na mtoto wake walifanya kitu cha namna hii, uchafu hauwezi kukuangukia alafu uupuze badala ya kujisafisha, anaogopa akijisafisha atajichuna na ngozi.

Tulikosea sana 2005

Hapa hakuna cha CCM wala CHADEMA, swala la madawa ya kulevya ni issue ya kitaifa.
Alichofanya JK ni kutufumbua macho wengine tujue kumbe hii issue ya kukamatwa Riz ni kweli. Lingekuwa ni uzushi wala lisingetolewa taarifa maalumu kwa vyombo vya habari. Lisemwalo lipo.

Hao hao watu wa mtaani tunamfanya asilale...

Na kwa hilil hachomoki, mwakani ana kesi ya kujibu baada ya kuwa mbangaji wa nyumba ya watu wa mtaani

wananchi hatukukosea tulimchagua ambaye hakutangazwa!! hili halituumi sana!!

JK ni mtu asiyejitambua hivyo msipate shida na huyo mtu

Kikwete janga la taifa

Ritz,
Mbona alijibu alipokuwa DC ingawa alikwepa swali? Si angenyamaza tu kama ana mambo mengi ya kuwatumikia wananchi?
By not answering he has answered a lot. We now believe he went to China to save his son Ridhiwani.

ukiona mtu anajibu swali kwa gadhabu na hasira ujue kunakaukweli fulani, baati mbaya bado ajajibu swali, tunachochea kuni mbichi tukisubiri majibu.

Familia nyingi zinajuta

Tatizo la mzee wetu huwa kuna kipindi anajisahau na hii ni kutokana na kukaririshwa maneno ya kuongea.

Jukwaa hili siku hizi mimi ni msomaji tu, ila wewe umenifanya niandike, hivi ndugu yangu ukiwa na akili zako timamu ulimpigia kura Kikwete?

Faiza Foxy:Huwezi kuwa tofauti sana na asili yako.Huwezi jua tofauti ya destruction na construction, mmekuwa na kujenga ktk misingi ya confussion ,lies na irresponsibility.JK haoni mbali sana na wala hana sense ya responsibility kitaifa na hata kwa watu anaodhani kuwa nawaokoa kumbe anwaangamiza.Ni bora hii nchi ingejiendesha yenyewe wawangekuwa na hakika na vitu wanavyofanya na kujifunza wangekuwa wanafanya vitu kwa uangalifu na umakini.JK ni naive sana.Na ni coincidence na jinsi jamii yetu ilivyo mixed ndio maana judgement yake inakuwa ngumu sana kwa watu wengi na wanaoweza wanakuwa na shida kuwashawishi watu. CCM si mara ya kwanza kuwapa watu majina mabaya na JK akiwa kinara ila hamjawahiw ajibishwa kwa hilo.Hivi Dr.Slaa akawa wa Mitaani na machokoraa ,au wale waswahili wanaolala km mbwa vibarazani na kuishi kwa gahawa wataitwa nani?Ninakuhakikishia JK anabebwa na econimic booms na plan za kimataifa ktk mambo fulani kwa kiasi cha kudangnya umma kuwa kafanya mabadiliko.Wenzetu wanashinda na china na wana mipango ya kuweka umeme, na miundo mbinu mingine km barabara ili kuwekza jenga misingi ya wao kuwekeza kwa mafanikio.NI kupitia matukio km haya na ganzi ya akili iliyowakumba watanzania kwa viapo vibaya.CCM inasurvive.ILa hii inatosha kuwapumbaza jamii km zenu.Days are comming Hata Bima,pesion wenzetu wanaweza zifanya za kimataifa ,kupitia mitandao, hizi dili dili na mipangilio mibovu ya jamii zilizoharibiwa na ukichaa wa CCM na uongozi wake.Mtazalisha sana wauza unga,wauza baa,malaya, mashoga..wapiga debe wa hao jamaa.... na si vinginevyo.Unapobeba jamii huku ukiidanganya kuwa kisicho haki yao ni haki yao,na kwamba ni zamu yao ya kula bila kuwaambia pia ni zamu yao kufanya kazi.Jamii inayomlinda kufa kupona kwa minajili ya dini hata asipowajibika,naona mmeamu mchagua JK ova mkapa.Kuna mengi nawaambia mnalimbikiziwa ila huu uongozi ukitoka vitakuwa drained km puto likiondolewa hewa.Watabaki akina Manji na Bakhresa etc .Kwa vile wanafanya na watu wenye taaluma na weledi wa kuwasukumia maendeleo yao ,na si wa kundi lenu.Bado mtapewa sababu kuwa utawala uliopo ndio umewarudisha nyuma na si udhaifu wa jamii zenu.

Kauli ya Rais Kikwete kuhusu tuhuma za mwanawe na dawa za kulevya aliyoitoa akizungumza na Watanzania waishio Marekani, na ambayo watu wa Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu 'wamepambana' kweli kweli kuhakikisha inapata uzito unaostahili stori 'kubwa' ya rais, inafikirisha na kuibua maswali kadhaa!

Walau kwa kuanzia tunaweza kuuliza swali moja la msingi na mengine kadhaa ya nyongeza;

1. Hivi watu wa mitaani ni akina nani, walau kwa context ya Rais Kikwete, familia yake, Taasisi ya Urais, Serikali yake, CCM na taifa letu kwa ujumla?

i. Mara ngapi huwa anawapuuza watu wa mitaani ambao sisi wengine tunaamini kuwa ndiyo wananchi wake?

ii. Huko mitaani si ndiyo barabarani? Kwa hiyo anathibitisha kuwa watu ambao yeye anawathamini na anaweza kuwasikiliza ni wale ambao HUWA HAKUTANI barabarani? Ref. Hatukukutana barabarani.

iii. Makabrasha ya Serikali yake na CCM na hata kauli za mawaziri wake, watendaji wake na viongozi wake ndani ya chama zinazosema 'watoto wa mitaani'...huwa zinamaanisha ni watu wa kupuuzwa vile?

Rais anasema urais ni taasisi kubwa, kweli kabisa watu makini watakubaliana naye, lakini watauliza;

iv. Rais ameanza kujua lini kuwa taasisi ya urais ni kubwa?

v. Je aliposema taasisi ya urais ni kubwa, alimaanisha inapaswa kulinda heshima yake, kutumia mamlaka yake ipasavyo kuongoza?

Maana ukubwa wa taasisi hiyo haijawahi kuwa issue kubwa tangu aingie madarakani. Watu wa mitaani kama alivyowaita yeye, wanachohoji ni uadilifu, UWAJIBIKAJI, heshima ya taasisi hiyo, ni mamlaka ya taasisi hiyo (imewahi kusamehe wakosaji wa jinai, EPA, badala ya kufikishwa mahakamani, imeshindwa kuwashughulikia majangiri, iliahidi maisha bora kwa Watanzania na sasa inayumbisha na hata kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya) n.k.

Lakini pia Rais Kikwete katika majibu yake bila shaka ametusaidia kufumbua fumbo aliloliweka Dk. Slaa.

Mwaka juzi Dk. Slaa alipomtaka Rais Kikwete atoe kauli juu ya tuhuma kwamba mtoto mmoja wa kigogo mkubwa serikalini alikuwa amekamatwa na dawa za kulevya huko China, taarifa za vyombo vya habari vilivyomnukuu havikutaja jina la mtoto huyo!

Majibu ya Rais Kikwete yamekwenda hatua mbele kadhaa na kutuondolea utata wa jina la aliyekamatwa na kigogo huyo ni nani!

Watu wa mitaani wataendelea kuihoji taasisi yao ya urais kwa sababu wanakumbuka maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere juu ya umuhimu wa taasisi hiyo! Tumwachie Rais Kikwete kazi ya kuwapuuza watu wa mitaani. Wananchi.
 
Faiza Foxy:Huwezi kuwa tofauti sana na asili yako.Huwezi jua tofauti ya destruction na construction, mmekuwa na kujenga ktk misingi ya confussion ,lies na irresponsibility.JK haoni mbali sana na wala hana sense ya responsibility kitaifa na hata kwa watu anaodhani kuwa nawaokoa kumbe anwaangamiza.Ni bora hii nchi ingejiendesha yenyewe wawangekuwa na hakika na vitu wanavyofanya na kujifunza wangekuwa wanafanya vitu kwa uangalifu na umakini.JK ni naive sana.Na ni coincidence na jinsi jamii yetu ilivyo mixed ndio maana judgement yake inakuwa ngumu sana kwa watu wengi na wanaoweza wanakuwa na shida kuwashawishi watu. CCM si mara ya kwanza kuwapa watu majina mabaya na JK akiwa kinara ila hamjawahiw ajibishwa kwa hilo.Hivi Dr.Slaa akawa wa Mitaani na machokoraa ,au wale waswahili wanaolala km mbwa vibarazani na kuishi kwa gahawa wataitwa nani?Ninakuhakikishia JK anabebwa na econimic booms na plan za kimataifa ktk mambo fulani kwa kiasi cha kudangnya umma kuwa kafanya mabadiliko.Wenzetu wanashinda na china na wana mipango ya kuweka umeme, na miundo mbinu mingine km barabara ili kuwekza jenga misingi ya wao kuwekeza kwa mafanikio.NI kupitia matukio km haya na ganzi ya akili iliyowakumba watanzania kwa viapo vibaya.CCM inasurvive.ILa hii inatosha kuwapumbaza jamii km zenu.Days are comming Hata Bima,pesion wenzetu wanaweza zifanya za kimataifa ,kupitia mitandao, hizi dili dili na mipangilio mibovu ya jamii zilizoharibiwa na ukichaa wa CCM na uongozi wake.Mtazalisha sana wauza unga,wauza baa,malaya, mashoga..wapiga debe wa hao jamaa.... na si vinginevyo.Unapobeba jamii huku ukiidanganya kuwa kisicho haki yao ni haki yao,na kwamba ni zamu yao ya kula bila kuwaambia pia ni zamu yao kufanya kazi.Jamii inayomlinda kufa kupona kwa minajili ya dini hata asipowajibika,naona mmeamu mchagua JK ova mkapa.Kuna mengi nawaambia mnalimbikiziwa ila huu uongozi ukitoka vitakuwa drained km puto likiondolewa hewa.Watabaki akina Manji na Bakhresa etc .Kwa vile wanafanya na watu wenye taaluma na weledi wa kuwasukumia maendeleo yao ,na si wa kundi lenu.Bado mtapewa sababu kuwa utawala uliopo ndio umewarudisha nyuma na si udhaifu wa jamii zenu.

Ewe pungunaim katazame kwenye pc jinsi usivyosomeka, jifunze kuandika kwa paragraph, kuweka space kwenye full stop, coma zako ujuwe pa kuziweka.

Jifunze namna ya kutumia coma:

Mswahili akipata m.atako hulia mbwata.
Mswahili, akipata m.atako hulia mbwata.
Mswahili akipata, m.atako hulia mbwata.
Mswahili akipata m.atako, hulia mbwata.
Mswahili akipata m.atako hulia, mbwata.

Kama unajuwa kusoma rudi rudia hizo sentensi mpaka uelewe nguvu ya coma.
 
Makene maswali mengine anayojiuliza hata Mtoto ( kama anae) angeweza kumjibu.
 
tatizo la watanzania,ukiwa na pesa wanakuchukia.wanasiasa wanamchukia mheshimiwa Rizzy,wasanii Diamond platinums,kuna wakati Rostam Aziz na Lowassa.MUNGU kawapa upajiri sababu wanasaidia wengine wasio na uwezo,tuwache majungu,tuendeleze nchi,vijana pigeni hela.Duniani hakuna mtoto wa rais awe ombaomba kama yupo mtajeni.by G

Kwa nini wamzungumzie huyo? Hebu taja watoto wa rais alotangulia na utendaji wao wakati baba yako u madarakani.
 
Back
Top Bottom