Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hivi marekani si ameenda huko kama mara 100 hivi?
Inawezekana ikazidi hapo
Hivi marekani si ameenda huko kama mara 100 hivi?
Siyo hiyo tu zote 410 wasiishie kukanusha tu watupe na usahihi wa gharama alizotumia na ni kiasi gani nchi imefaidika kwa safari hizo ili tulinganishe. Siyo mtu unatumia 10,000 kwenda kuomba 5,000tunaomba kujua gharama za safari .
Subiria huyo mkongomani akitua ndani ya mjengo dadomaUnaota wewe na mkongomani wako
tuchukue wastan wa siku 3 kwa kila safari najua kuna zingine amekaa siku nyingi na zingine chini ya siku 3
410*3= 1230 days kwa hyo ni wastani wa miaka mitatu msela anakula bata
1230/365= 3.3 years(jamaa yuko exile)
wastani wa gharama ya safari hapa ndo shida, hebu tupige Tsh 300mil per visit
300 * 410= 123billions hope to have underestimated the cost
Tupunguze matumizi. Sasa hivi Mkoa moja inapelekewa OC ya shs.45,000,000 kwa mwezi badala ya Tshs.250,000,000 kama ilivyopangwa kwenye bajeti kwa mwezi. Kwa kweli hali inatisha. hakuna kazi inayofanyika kwenye ofisi zetu sasa hivi.
Wao wakimaliza mihula yao huwa wanakuja kuaga?