Rais Kikwete safarini Marekani...

Rais Kikwete safarini Marekani...

Status
Not open for further replies.
Unakumbuka alivyosema Lowassa,alikuwa nadhani katika mkutano wa Jangwani. "Wananchi tunaomba ridhaa yenu ili tuiiondoe CCM.Marekani er I mean tuiondoe CCM madarakani.Hii nadhani psychoanalysts wanaiita " Freddyan slip". Mimi I am addicted to making these offending remarks. Maybe I will overcome this habit in nirvana.
 
HAPANA si mwaka mmoja tu {umepunguza siku},
uelewe kila akisafir ukaa huko nje kwa wastani wa siku 5; hivyo idadi ya siku alizokaa = 5*409 unapata jumla ya siku 2045 ambapo ni takriban miaka 7 aliyokaa nje KWA KULIKIMBIA TAIFA LAKE.
Nipo tayar kusahihishwa.

kwa hiyo it means jk miaka 7 amekuwa akila mabataz mbelez na mi 3 ndo yuko home. Kazi kweli kweli
 
Hii ni record ya kidunia,raisi katawala miaka 10,hata hivyo mwaka mmoja na miezi mitano yuko nje ya nchi bila hata wananchi kustuka,hii ni hatari aisee
 

hivi anajari kweli?
hivi kuna siku bajeti yake imewahi kuwa kama ya afya kwani ya afya ni pungufu kila mwaka
hivi kuna siku bajeti yake imekuwa kama ya elimu kwani ya elimu ni pungufu kila mwaka

 
Wapumbavu na malofa bhana,mkuu akisafiri kidogo tu mnalalamika.hamuoni wenzetu wenye akili wanaona sawa tu?.akisafiri sio kama huwa hakuna umuhimu la hasha! ila kuna umuhimu mkubwa.kwa mfano alipokuwa anaumwa malofa tulitegemea afanye nini wakati Tz hawajaweka misingi bora katika kuleta afya bora kama si kwenda duniani huko? pia wakati alipoenda kufanya exchange ya madini flani amaizing kwa nyavu za kuvulia samaki..aah net kwa ajili ya kuzuia malaria hamuoni kama malaria inapigwa vita hapo?,hapa bongo hakunaga fresh air time zingine so mnataka mkuu asipate wasaa wa kupata fresh air duniani huko?..mamvi kashaenda sana nje so itabidi atulie tu maana kwa wanavyomsemea afya yake anaweza akatosha kwa mabadiliko ya ndani ya nchi tu na sio kusafiri nje.Makufuli nadhani hajaenda safari nyingi so bora ashinde tumsapoti tuhakikishe anavunja record ya safari hizi nae ampishe mwingine.kidumu chama cha masafari.
kula yangu kwa kijani
ccm oyeeee
 

hivi anajari kweli?
hivi kuna siku bajeti yake imewahi kuwa kama ya afya kwani ya afya ni pungufu kila mwaka
hivi kuna siku bajeti yake imekuwa kama ya elimu kwani ya elimu ni pungufu kila mwaka


Thubuutuuuuuuu,ipungue?
 
Hii ni record ya kidunia,raisi katawala miaka 10,hata hivyo mwaka mmoja na miezi mitano yuko nje ya nchi bila hata wananchi kustuka,hii ni hatari aisee

Mwaka huu tumestuka ndio maana tumeamua kuipiga ccm chini
 
Wapumbavu na malofa bhana,mkuu akisafiri kidogo tu mnalalamika.hamuoni wenzetu wenye akili wanaona sawa tu?.akisafiri sio kama huwa hakuna umuhimu la hasha! ila kuna umuhimu mkubwa.kwa mfano alipokuwa anaumwa malofa tulitegemea afanye nini wakati Tz hawajaweka misingi bora katika kuleta afya bora kama si kwenda duniani huko? pia wakati alipoenda kufanya exchange ya madini flani amaizing kwa nyavu za kuvulia samaki..aah net kwa ajili ya kuzuia malaria hamuoni kama malaria inapigwa vita hapo?,hapa bongo hakunaga fresh air time zingine so mnataka mkuu asipate wasaa wa kupata fresh air duniani huko?..mamvi kashaenda sana nje so itabidi atulie tu maana kwa wanavyomsemea afya yake anaweza akatosha kwa mabadiliko ya ndani ya nchi tu na sio kusafiri nje.Makufuli nadhani hajaenda safari nyingi so bora ashinde tumsapoti tuhakikishe anavunja record ya safari hizi nae ampishe mwingine.kidumu chama cha masafari.
kula yangu kwa kijani
ccm oyeeee

Ccm ziiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Akitoka huko anaunganisha hadi CHINA. Hahahaha! ndiyo sababu Denmark walimzuia kuingia nchini kwao. Rais asiyeweza kutulia nchini kwake sijui akitoka Magogoni atawezaje kuishi hapo nyumbani kwake Msoga alipojijengea mahekalu yaliyozungukwa na vibanda vya nyasi na umaskini usio na mfano.
 
Tupunguze matumizi. Sasa hivi Mkoa moja inapelekewa OC ya shs.45,000,000 kwa mwezi badala ya Tshs.250,000,000 kama ilivyopangwa kwenye bajeti kwa mwezi. Kwa kweli hali inatisha. hakuna kazi inayofanyika kwenye ofisi zetu sasa hivi.

Naam! Jamii inayoumwa huchagua viongozi wanaoumwa.
 
Inauma sana jamaa yangu.. ukisikia mkwanja unaotumika kwenye ziara utapigwa na butwaa, ukija kuzidisha na 410 ndio unaweza kupata headache kabisa

Mkwanja anatumia nani??au hz za kuhonga??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom