Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,911
- 146,066
Kama kawaida yake, wiki hii Rais kikwete anaelekea marekani kuaga.
Habari zinasema kwamba rais atakuwa huko kwa wiki moja, na atawaaga wakuu wa nchi katika mkutano wa umoja wa mataifa, UN.
Hii itakuwa safari ya 410 katika uongozi wakee!!.
Viongozi wa nchi karibu zote wanachama wa UN hukutana New York kwenye vikao vya UN kila September.