Rais Kikwete na safari za nje

Rais Kikwete na safari za nje

yeah... mimi nadhani ni bora awe anasafiri tu nadhani ndio kazi yake kubwa na ya msingi kama Rais wa Nchi, kwani asiposafiri nchi haiendelei.

Halafu nadhani wapangiane anaanza Waziri Mkuu, Makamu wa Rais halafu Rais kutembelea nchi hiyo hiyo.. kama wanavyofanya India ambako Makamu alikuwa huko kwa karibu siku saba na sasa Rais na baadaye mwaka huu Waziri Mkuu.. nadhani yote ni katika kutumia resources zetu vizuri.
 
ziara Ya Rais Itamfikisha..india...china..seoul Korea..denmark..then Uingereza..two Weeks Tour...
 
yeah... mimi nadhani ni bora awe anasafiri tu nadhani ndio kazi yake kubwa na ya msingi kama Rais wa Nchi, kwani asiposafiri nchi haiendelei.

Halafu nadhani wapangiane anaanza Waziri Mkuu, Makamu wa Rais halafu Rais kutembelea nchi hiyo hiyo.. kama wanavyofanya India ambako Makamu alikuwa huko kwa karibu siku saba na sasa Rais na baadaye mwaka huu Waziri Mkuu.. nadhani yote ni katika kutumia resources zetu vizuri.

Nime-admire posting yako hiyo hapo juu, unalengo la kufikisha postings ngapi mwaka huu?
 
yeah... mimi nadhani ni bora awe anasafiri tu nadhani ndio kazi yake kubwa na ya msingi kama Rais wa Nchi, kwani asiposafiri nchi haiendelei.

Halafu nadhani wapangiane anaanza Waziri Mkuu, Makamu wa Rais halafu Rais kutembelea nchi hiyo hiyo.. kama wanavyofanya India ambako Makamu alikuwa huko kwa karibu siku saba na sasa Rais na baadaye mwaka huu Waziri Mkuu.. nadhani yote ni katika kutumia resources zetu vizuri.

Nadhani wameambiana kuwa watumie pesa zote zinazokusanywa kwa kusafiri na kuacha mambo ya nyumbani kama Amani ya zanzibar kwa rehema za mungu na baadaye aanze kudai kuwa yote ni kazi ya mungu tu
 
Mwamlaumu bure, JK alishakiri kushindwa na hajui kashindwa wapi. Tusubiri tu 2010.
Safari zake ni katika hekaheka za kujiweka bussy kutafuta mawazo na misaada (hamna mwenye wazo endelevu wa kumshauri JK ndani ya CCM maana wote wameshaonja sumu CCM na kupoteza hekima zao).
 
Kuna wakati kwenye habari kulikuwa na taarifa ya condom fupi kutoka uchina......... china ndio wenyewe kwa mavitu si mnajua hata vitu vya ulaya vingi vinatengenezwa uchina? ni pesa yako tu maana wafanya biashara wanawajua Wabongo kwa kuomba kupunguziwa hata vitu mambavyo vipo kwenye SALE kwa kulijua hilo wakaamua kuwa wanaleta bidhaa hafifu za bei muswano! Mpo hapo wandugu?

That with red is funy! tehe tehe tehe
Ni kweli wanachofanya wale mabwana uchina wanabidhaa za sura moja quality tofauti.Ni juu yako unataka ya gharama gani.Kama mkuu hapo juu alivyodokeza kwamba hata vitu kwenye sale bado mtu anaomba punguzo tena juu ya puguzo.Kwa hivyo unapatiwa inayofanana na kiasi cha pesa unachotoa.Kama zimakuwa ovyo kupita kiasi Basi ni kazi ya shirika ya viwango TBS Kudhibiti.
Ila tukumbuke Bure ghali!
 
Nadhani wameambiana kuwa watumie pesa zote zinazokusanywa kwa kusafiri na kuacha mambo ya nyumbani kama Amani ya zanzibar kwa rehema za mungu na baadaye aanze kudai kuwa yote ni kazi ya mungu tu

Kinachotisha ni kwamba tunaona nchi haina dira na believe me this creates a power vaccum na itachukuliwa na someone! Tunaweza kukuta someone in the circle of power akaanza ku-pull strings. So far we knew alikuwa mshikaji wake EL lakini who is it this time around?
Mimi sitaki kuingilia safari zake but he has to leave the 'house' (country) in order. Siyo anaondoka na kuacha vurugu with Zanzibar in shambles, EPA na Richmond boiling and raging, tuache masuala mengine 'madogo' kama TRL, Tanesco, etc
NOT good signs!
 
Kinachotisha ni kwamba tunaona nchi haina dira na believe me this creates a power vaccum na itachukuliwa na someone! Tunaweza kukuta someone in the circle of power akaanza ku-pull strings. So far we knew alikuwa mshikaji wake EL lakini who is it this time around?
Mimi sitaki kuingilia safari zake but he has to leave the 'house' (country) in order. Siyo anaondoka na kuacha vurugu with Zanzibar in shambles, EPA na Richmond boiling and raging, tuache masuala mengine 'madogo' kama TRL, Tanesco, etc
NOT good signs!


Duh mbona unamtisha akipata hii habali anaweza hairisha ziara,kwa maana ni rahisi kwa hilo kutokea rais akiwa nje. ila bongo bado kwa hilo duh!
 
yeah... mimi nadhani ni bora awe anasafiri tu nadhani ndio kazi yake kubwa na ya msingi kama Rais wa Nchi, kwani asiposafiri nchi haiendelei.

Halafu nadhani wapangiane anaanza Waziri Mkuu, Makamu wa Rais halafu Rais kutembelea nchi hiyo hiyo.. kama wanavyofanya India ambako Makamu alikuwa huko kwa karibu siku saba na sasa Rais na baadaye mwaka huu Waziri Mkuu.. nadhani yote ni katika kutumia resources zetu vizuri.

Hii ni mapipo kwa Serikali ya George Kichaka,Coz wachina nao kuna kitu wanakitaka hapa Africa.Yale yale ya kina Bush.sasa wanashidana,ila Bush alishaweka msimamo wake kwa TAnzania kama ikikubali kushirikiana na Uchina.
 
Mwamlaumu bure, JK alishakiri kushindwa na hajui kashindwa wapi. Tusubiri tu 2010.
Safari zake ni katika hekaheka za kujiweka bussy kutafuta mawazo na misaada (hamna mwenye wazo endelevu wa kumshauri JK ndani ya CCM maana wote wameshaonja sumu CCM na kupoteza hekima zao).

Tom, Chonde chonde Mkulu..............
 
...akitoka UK atapitia Zimbabwe kusherehekea uhuru wa nchi hiyo (April 18) kisha atakwenda Comoro kuangalia maendeleo ya visiwa hivyo kabla ya kurudi Dar na kesho yake kwenda Mauritius kwenye mkutano wa SADC! Yote ni majukumu tu!
 
...akitoka UK atapitia Zimbabwe kusherehekea uhuru wa nchi hiyo (April 18) kisha atakwenda Comoro kuangalia maendeleo ya visiwa hivyo kabla ya kurudi Dar na kesho yake kwenda Mauritius kwenye mkutano wa SADC! Yote ni majukumu tu![/QU]

...MSISAHAU MAMA SALMA JUZI ALIKUWA MAREKANI KWA MATEMBEZI PAMOJA NA KUHUDHURIA MKUTANO COLUMBIA UNIVERSITY...TEH TEH AS USUAL BALOZI WETU WA LUGHA KISWAHILI...ALIHUTUBIA ...AKIWA NA MSAFARA WAKE UNAOHUSISHA MKALIMANI....AKITOKA HAPO ANACHUKUA TRANS CONTINENTAL PLANE KUM JOIN MMEWE...
ASIA
 
yeah nimesikia mama alihutubia kwa Kiswahili nadhani kwa hilo ameonesha mfano; mbona Wajapani wakija huku wanahutubia kwa kijapani au waarabu kwa kiarabu?

Natumaini mtafsiri alifanya kazi nzuri...
 
...MSISAHAU MAMA SALMA JUZI ALIKUWA MAREKANI KWA MATEMBEZI PAMOJA NA KUHUDHURIA MKUTANO COLUMBIA UNIVERSITY...TEH TEH AS USUAL BALOZI WETU WA LUGHA KISWAHILI...ALIHUTUBIA ...AKIWA NA MSAFARA WAKE UNAOHUSISHA MKALIMANI....AKITOKA HAPO ANACHUKUA TRANS CONTINENTAL PLANE KUM JOIN MMEWE...
ASIA

Mwanakijiji alikuwa anauliza sababu iliyomfanya Kikwete kugombea uraisi na kwa sasa taratibu tunaanza kuipata!
 
Mheshimiwa Rais, ameshawasili nchini China. Picha zimeambatanishwa hapa chini
 

Attachments

  • xin_41204051121048282737578.JPG
    xin_41204051121048282737578.JPG
    21.2 KB · Views: 30
  • xin_42204051121040462887179.JPG
    xin_42204051121040462887179.JPG
    35.5 KB · Views: 30
  • xin_42204051121042811800480.JPG
    xin_42204051121042811800480.JPG
    26.8 KB · Views: 36
  • xin_42204051121045001667381.JPG
    xin_42204051121045001667381.JPG
    20.7 KB · Views: 31
According to the dataz, mkulu yuko njiani kuelekea US, akianzia NY, I mean hivi si mama alikuwa huko last week? Yaaani kweli hakuweza kushugulikia hizo itifaki mpaka na mkulu naye anaenda huko tena? Na huo utitiri anaofuatana nao nani anaulipia? Wanakwenda kufanya nini watu wote hao?

Ndugu yangu muungwana, tuoneee huruma kidogo wananchi wa Tanzania, hivi ni kweli marais wote duniani wanasafiri namna hii?

Ohhhh! Mungu Ibariki Tanzania, mwe! mwe! mwe! mweeeeeeeeeee!
 
Sometimes tunaamua kukaa kimya anacha mambo ya muhimu hapa anishia kutembelea ulimwengu, watu walikuwa right kwa kumuita Vasco Dagama
 
Mzee ES, Jk hajui politics za huku zinavyowork. Hajui GW Bush ni lame-duck president sasa hivi and also they can care less about Zimbwabwe.

Tangu apate hiyo presidency ya AU anadhani status yake imekuwa kubwa, yaani kutwa anamsumbua Condi hajui wenzake they did there PR Africa mission na ndio imetoka.

Condi na Bush wako busy na Israel/palestine issue as there last stand.

Zimbwabwe, Comoro, Kenya, Zanzibar they spend about 5 mins a month kwenye hizo issue.

JK anawaudhi sana senior people like Mbeki sababu badala ya kuzunguka Africa kuongea kuhusu haya maswala yeye kimbelembele ni overseas.

JK solve mambo ya TZ ndio utapata sifa kimataifa.

PR yako inataka tuamini kuwa ulisaidia Kenya, lakini kwa watu makini ni vigumu kuamini kwa sababu Zanzibar tu umeshindwa na Karume kwa hiyo husingeweza kabisa Raila/Kibaki fiasco.

Huko kwa Mugabe ndio kabisa usijaribu sasa hivi, just FYI
 
According to the dataz, mkulu yuko njiani kuelekea US, akianzia NY, I mean hivi si mama alikuwa huko last week? Yaaani kweli hakuweza kushugulikia hizo itifaki mpaka na mkulu naye anaenda huko tena? Na huo utitiri anaofuatana nao nani anaulipia? Wanakwenda kufanya nini watu wote hao?

Ndugu yangu muungwana, tuoneee huruma kidogo wananchi wa Tanzania, hivi ni kweli marais wote duniani wanasafiri namna hii?

Ohhhh! Mungu Ibariki Tanzania, mwe! mwe! mwe! mweeeeeeeeeee!

Huyo ndio JK ambaye anataka aendelee kutawala hadi 2015!
 
Swali kwa wana JF wote,

Vasco da gama alivumbua America mwaka:
a) 1476
B) 1492
c) 1320

Mvumbuzi na msafiri maarufu duniani katika karne hii ya 21 aitwaye Jakaya Kikwete ambaye ni raisi wa nchi masikini duniani iitwayo Tanzania ambaye anasafiri sana kwa kutumia gharama za nchi yake masikini anataka kuvumbua kisiwa kiitwacho:

a) Umasikini wa Tanzania
b) ujinga, maradhi na uzembe wa kubobea katika Tanzania
c) Yote hapo juu
 
Back
Top Bottom