Hawa wazee ndo wanapigwa mabomu wakisotea malipo yao ya jumuiya ya Africa Mashariki. Lakini kwa kuwa wameshaanza kupoteza kumbukumbu, wakitangaza vijana watawakumbusha hivyo hawataenda.
Kama hawa wazee wana busara waache kwenda au kama wana umoja, huu ni muda mzuri kwenda na kugoma kuhutubiwa na wao wakamuuuliza maswali juu ya malipo yao.
Hao wananchi wanaibiwa na nani? Mbona humu ndani tunawatetea wezi? Mbona makanisa yanaanza kuwatetea wezi? Eti wasiogope kuitwa mafisadi? Leo mafisadi si tatizo tena? Uko wapi ule waraka wa kanisa unaopinga ufisadi? Kuna nini?Nini MAANA YA kuzungumza na mtu niujua vyo mimi ni kubadilishana maneno,JK Hana uwezo wa kuzungumza na Watanzania hawa wenye shida na ugumu wa maisha wanaibiwa Mali ya umma bila mtu kushitakiwa,wanaiba wanyama hai bila hata Mtu kuwajibika.
Kama kweli JK ANAUBAVU ITISHA MKUTANO WA TWO WAY MIC KWAKE MIC KWA WANANCHI TUMUULIZE MASWALI KWANINI TUMEFIKA HAPA TULIPO, anakimbilia kuwahutubia wachovu wazee wa Dar wanaomwogopa.
Kwanini asizungumze na wazee wastaafu wa EA?
Mheshimiwa Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete leo ataongea na wazee wa Dar-es-salaam kuanzia saa kumi jioni. Itarushwa live na vituo vya TV kama TBC.
USIKOSEEEEEEEEEEEEEEEEE.
makanisa ya siku hizi yamejaa wanafiki watupu kama bakwata tuHao wananchi wanaibiwa na nani? Mbona humu ndani tunawatetea wezi? Mbona makanisa yanaanza kuwatetea wezi? Eti wasiogope kuitwa mafisadi? Leo mafisadi si tatizo tena? Uko wapi ule waraka wa kanisa unaopinga ufisadi? Kuna nini?
Lakini ujumbe unatufikia wote..atakayoongea hawalengi tu wazee..bali taifa kwa ujumla. Wazee wantumika tu kama sample ya hadhira
makanisa ya siku hizi yamejaa wanafiki watupu kama bakwata tu
hawa viongozi wa dini wanaongoza kuua dini nchini
Mheshimiwa Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete leo ataongea na wazee wa Dar-es-salaam kuanzia saa kumi jioni. Itarushwa live na vituo vya TV kama TBC.
USIKOSEEEEEEEEEEEEEEEEE.
Inaposemwa kuwa anaongea na wazee si kweli,
ingesemwa kuwa anawahutubia kwa kuwa kuongea
ni pamoja na kupeana nafasi ya kutoa hoja kama
vile yeye kusikiliza hoja zao na kuwaacha waulize
maswali kisha ayajibu. Lakini kinachofanyika ni
kwamba yeye anasema wao wanapiga makofi tu
bila kuhoji...