Mheshimiwa Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete leo ataongea na wazee wa Dar-es-salaam kuanzia saa kumi jioni. Itarushwa live na vituo vya TV kama TBC.
USIKOSEEEEEEEEEEEEEEEEE.
JK ni Rais kilaza kuliko marais wote duniani lakini bahati nzuri kwake ni kuwa hata anaowaongoza nao ni vilaza na makondoo ya kutupwa.
Halafu akiongea na vizee hivi vya CCM huwa anatema povu sana huyu bwana!!
Hotuba yake inapaswa kujibiwa instantly!! Tunahitaji mtu smart ataeweza kuandika majibu ya hoja zake pale pale anapozungumza ili majibu yatoke kesho sambamba na hotuba yake itayotolewa na vyombo vya habari!! Lakini pia akili pia tuziweke na dodoma,ili akili zisihamie kwenye hotuba huku bungeni mambo yanapitishwa! Wananchi wengi hawataona kinachoendelea bungeni live maana watakuwa wanasikiliza porojo!!Mheshimiwa Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete leo ataongea na wazee wa Dar-es-salaam kuanzia saa kumi jioni. Itarushwa live na vituo vya TV kama TBC.
USIKOSEEEEEEEEEEEEEEEEE.
Mh.... Bdo REJAO.......JK ni Rais kilaza kuliko marais wote duniani lakini bahati nzuri kwake ni kuwa hata anaowaongoza nao ni vilaza na makondoo ya kutupwa.
Lakini ujumbe unatufikia wote..atakayoongea hawalengi tu wazee..bali taifa kwa ujumla. Wazee wantumika tu kama sample ya hadhira
Mkuu hushangai kwanini inafanyika sambamba na mkutano wa bunge ukiendelea? Subiri muone! Hapa wanaharakati ndio wanapaswa kufikiri kwa kasi and very smart!!Ndiyo tatizo la kiongozi huyu. Mambo mazito yanayohitaji wasomi, yeye anaongea na wauza kahawa. Wapi na wapi!!