Amani ya Mungu
Member
- Sep 1, 2011
- 45
- 60
Rais JK anatarajia kuzungumza na wazee wa Pwani leo saa 10 jioni. Je ni mambo gani anayotarajia kuzungumza na wazee hao?
Rais JK anatarajia kuzungumza na wazee wa Pwani leo saa 10 jioni. Je ni mambo gani anayotarajia kuzungumza na wazee hao?
By Pasco
Kesho ni siku ya hotuba kama ile ya mbayuwayu!. Madokta ambao hawatarejea kazini baada ya hotuba ya kesho, chamoto watakiona!. Yaani watakiona kisa cha mtema kuni, kilichomnyoa kanga manyoya!.
Naisubiri kesho kwa hamu kumsikiliza rais wetu JK ambae ili nijue nitaongeza post kwenye thread ya mazuri yake au mabaya yake!.
Mkuu Companero, kwani mimi Salva mpaka nijue?. Au na wewe unadhania na mimi ni mtu wa sehemu?. Mimi ni mwananchi tuu kama wewe, naisubiri hotuba hiyo ili niongeze katika mazuri ya JK au mabaya!.
Wakuu hayo maongezi na wazee yatarushwa live na ktuo gani!
Mkuu JK haendi kuongea na "wazee wa CCM" DSM pekee isipokuwa anaongea na Taifa kupita "wazee wa CCM SDM" na hata wakiwa one side kuna athari gani labda?
Labda nikukumbushe JK anweza kuongea kuhusu taifa hata kama yupo kwenye vikao vya chama acha "wazee wa CCM DSM" Sijui unatatizwa na nini hapo
Mkuu "mkakakmavu wa fikra" unafikiri JK anakwenda kujadiliana na wazee wa dsm? NOPE
You're wrong Jk atalihutubia taifa kupitia wazee wa DSM. hivi hili lina ugumu gani kuelewa jamani.... kila nchi ina utaratibu wake. kama wewe unaona ni mazoea mabaya sio mbaya sema basi ubaya wake ni nini maana watu wameacha kuongea nataka kusema nini na taifa wamekomalia wazee tu utadhani hao wazee ndio wana hitimisho lolote, ni utamaduni tu na hauna ubaya wowote
Rais JK anatarajia kuzungumza na wazee wa Pwani leo saa 10 jioni. Je ni mambo gani anayotarajia kuzungumza na wazee hao?
Mkuu Mag3
Ninacho danganya hapa ni kipi hasa? Nimejaribu kueleza (1)kwanini marais hadi leo wanaongea na taifakupitia wazee wa DSM.
Issue hapa sio namna na uwezo wa kila raisi anavyoweza kudeal na matukio mbali mbali , HAPANA
(2)Issue hapa ni kwamba Rais anataka kuongea na Taifa, haijalishi ana maamuzi au hana.
Ninacho shangaa mimi ni kwanini basi iwe nongwa kufanya hivyo kupitia wazee wa DSM hata kama karibu wote ni CCM(na sababu za kuwa CCM nimeeleza)
Rais habanwi wapi pa ku address maswala ya kitaifa jamani hata kama atakachoongea leo ni ujinga wa kiasi gani lakini hii haiondoi (3) mantiki nzima ya yeye na mahali pa kuongelea
Hivi umejiuliza what it make a difference kama angeongea anayotaka kuongea akiwa ziarani Bukombe au akijifungia ikulu na makamera na au popote pale na akiongea kupitia wazee wale?
(4)Kwanini hoja kuu iwe kuongea na taifa kupitia wazee wa DSM? je wana impact gani kwa atakachoongea
Vipi kama akisema ameamua kuvunja bara la mawaziri au ameamua kujiuzuru? vipi kama ameamua kuwatimu akina Mponda na naibu wake? vipi kama akisema na kupiga mkwara kama waliopigwa walimu? (5)hivi hayo yote yana impact gani na hawa wazee tunao watolea matusi yote humu ndani utadhani wao ndio waamuzi wa mwisho au sijui vipi
Mkuu hebu nishawishi nini mbaya kuhutubia taifa kupitia wazee wa DSM? may be I miss something katika hili
Narudia siridhiki na utendaji wake hata kidogo, alikuwa kimya tuka mtaka aongee, akaamu OK nitaongea na taifa kupitia wazee wa DSM sasa tunahoji kwanini wazee wa DSM? au kwasababu wengi ni wana CCM?