Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Safari hii waTz tumepatikana,
Tunapenda kufanya mambo kimazoea ila JK ametuonyesha kuwa uwezo wake wa kufanya mambo kimazoea ni mkubwa zaidi.
Hatofautiani na Abunuasi anayekatatawi alilokalia huku akiwacheka wanaomshangaa....
Historia ya Taifa lililodumbukiza chooni miaka yake kumi ya historia katika kujenga ustawi.
nI KWELI kabisa, JK anafikiri jibu lilojibu shinikizo la walimu ndiyo hilo kwa drs, hapana hawa drs watakachofanya wanaweza kurudi kazini kwa shinikizo lake lakini kitakachofanyika ni kupunguza ratio hii 1:26,000 yaani dr mmoja kwa wagonjwa 26,000 na kuwa hata 1:2,000 na hakuna atakayeuliza lakini madhara yake tutayona pale mutuary na kwenye cemetaries