Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Mbona mimi nakujua wewe, Babu yako si marehemu? au ulienda Kaburini?Nina Babu yangu anamiaka 75 nimemuuliza kama kapata mualiko wa JK kasema hajapata. Nimemuuliza kama yeye ni mwanachama wa Jumuhia ya Wazazi wa CCM Kasema si mwanachama na wala hawajawai kuwa mwanachama wa hiyo Jumuhia. Basi nikawa nimepata jibu la hao wazee wa CCM.