Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
Wakuu leo tarehe 12 / 11 / 2011 Rais wa JMT Mheshimiwa J Kikwete anatarajiwa kuzindua chanjo kwa watoto chini ya miaka mitano.Chanjo hiyo itahusisha magonjwa ya Polio,Surua,Vitamini A na dawa za minyoo.
Taarifa za kiintelijensia toka chanzo muhimu zinasema uenda Mheshimiwa Rais Kikwete atashindwa kuzindua kampeni hizo kwasababu za kiusalama mkoa Arusha.Taarifa nyingine za uhakika kuna mpango wa kile chama cha magwanda kuvuruga zoezi zima la uzinduzi kwa kubeba mabango yenye nia ya kumdhalilisha mkuu wa Kaaya eg:Mfungulie mbunge wetu,Ondoka na meya wako wa kuchonga na nk.
Taarifa za kiintelijensia toka chanzo muhimu zinasema uenda Mheshimiwa Rais Kikwete atashindwa kuzindua kampeni hizo kwasababu za kiusalama mkoa Arusha.Taarifa nyingine za uhakika kuna mpango wa kile chama cha magwanda kuvuruga zoezi zima la uzinduzi kwa kubeba mabango yenye nia ya kumdhalilisha mkuu wa Kaaya eg:Mfungulie mbunge wetu,Ondoka na meya wako wa kuchonga na nk.