Rais Kikwete awapandisha vyeo makanali

Hii inathibitisha hukupitia JKT no way afisa wa jeshi akampigia sluti raia wa kisiasa kuna exception kadha lakini si kwa wa aina ya huyo mchumia tumbo.
Kwa taarfa yako mimi nilipita jeshini vilivyo, na ninajua mambo ya JESHI tangu wakati wa chama kimoja enzi hizo CCM ikiwepo mpaka majeshini. Enzi hizo walikuwepo wakuu wa wilaya na mikoa ambao ni wanajeshi, hivyo walikuwa wakiwa katika shighuli za kiserikali walikuwa wanapigiwa saluti na wanajeshi wengine wenye rank kubwa zaidi yao katika jeshi. Kihega inaonekana ulikuwa selule wewe jeshini kama ulikwenda.
 
Last edited by a moderator:
Apandishe vyeo na walimu pia..... uongozi wa upendeleo tu sekta moja....
 
Kuwa Kanali ina maana unakuwa ni incharge wa Regiment na kwa kwa kupewa commission ya kuwaa Brigadier ina maana watakuwa wakuu wa brigade zenye battalion tatu (approx Troops 3000)

Mkuu tofaut kati ya regiment na battalion ni nini?
 
Mkuu tofaut kati ya regiment na battalion ni nini?

Regiment is a military unit of ground troops consisting of at least two battalions, usually commanded by a colonel while a Battalion is a military unit with 300 to 1,200 soldiers that usually consists of two to seven companies and is commanded by either a lieutenant colonel or Colonel
 
By Kihega Hii inathibitisha hukupitia JKT no way afisa wa jeshi akampigia sluti raia wa kisiasa kuna exception kadha lakini si kwa wa aina ya huyo mchumia tumbo.

Kwa taarfa yako mimi nilipita jeshini vilivyo, na ninajua mambo ya JESHI tangu wakati wa chama kimoja enzi hizo CCM ikiwepo mpaka majeshini. Enzi hizo walikuwepo wakuu wa wilaya na mikoa ambao ni wanajeshi, hivyo walikuwa wakiwa katika shighuli za kiserikali walikuwa wanapigiwa saluti na wanajeshi wengine wenye rank kubwa zaidi yao katika jeshi. Kihega inaonekana ulikuwa selule wewe jeshini kama ulikwenda.

Mwanajeshi anampigia salute raia aliyepata commission ya rais

Raia huyo ni ameteuliwa katika nyadhifa flani na Rais mfano mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa na mawaziri wote ila sio mbunge

Pia kuna wakuu wa polisi wanne ambao wana commission ya rais wanapewa salute na wanajeshi
 
Mwanajeshi anampigia salute raia aliyepata commission ya rais

Raia huyo ni ameteuliwa katika nyadhifa flani na Rais mfano mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa na mawaziri wote ila sio mbunge

Pia kuna wakuu wa polisi wanne ambao wana commission ya rais wanapewa salute na wanajeshi

Ni kukosa mnyumbuliko sahihi tu kutokana na tafsiri ya vyeo vya majeshi yetu kutowekwa sawa...
Salute ni gestrude ama kitendo chochote kinachoonesha heshima,ambapo mara nyingi ilikuwa inatumiwa na vyombo vya ulinzi ila pia kwa siku za karibuni naona kuna taasisi zisizo za kiserikali na watu binafsi ambao wameamua kutumia saluti kuonesha utii na heshima yao kwa watu waliofanya mambo distinguished!
 
Back
Top Bottom