BondJamesBond
Member
- Jul 6, 2011
- 85
- 60
I think majina yanapendekezwa na Membe kisha anampelekea yule babu mwenye mvi pale ikulu kisha yule anampa rais lakini badou anaingiza majina ya watu wake pia....kama anavyofanya kwenye uteuzi wa positions zingine serikaliniKwani mchagua mabalozi ni Membe au Rais?