kholo
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 413
- 75
Mods haya si matusi kwa mkuu wa nchi?
mkuu wa nchi bongo banaa?
Mods haya si matusi kwa mkuu wa nchi?
Chinchilla, Kisheria neno Mpuuzi sio kosa la kisheria. Tafsiri yake ni mtu asiyejali, anaye puuza mambo. Sasa naomba usijipendekeze kwa kwa Kikwete kwa kuwa kuna watu wako pale ikulu idara ya usalama kitengo cha mawasiliano wanafanya hii kazi ya kufuatilia social websites zote nchini. Kwa hili hamna kosa.Mods haya si matusi kwa mkuu wa nchi?
Watanzania
kweli kazi yetu ni kukosoa tu kila jambo, sasa mnataka rais hawachague
kina nani ndiyo mfurahi?
Nimewafurahia Dr. Batilda Burian na Dr. Kamala.
hongera mh, rais fanya kazi yako katiba inakuruhusu na wanaobeza wanyamazie kama huwaoni, ipo cku watakukumbuka maana rais ajaye hatatoa ruhusa hy tena.
Nguvu yake ipo kwenye dola saizi baada ya kuishiwa mbinu za kuinua uchumi na kubaki na yale yale ya kale.
Mpe rais wetu heshima yake bwana mambo ya kumuita rais wetu kilaza sio heshima. Big up JK watu watakukumbuka sana ukitoka madarakani. Go go JK gooo............
Kamala kupelekwa Ubelgiji ni mwisho wa Tanzania .Pale mahali ni muhimu mno kumpeleka Kamala ni hatari zaidi na kama huamini ngojea utaona ukweli huu.Balozi wa Belgium ndiye pia Balozi wa EU na Holland, Luxemburg sasa huyu Kamala ataweza ? Haya wacha tuone but we have lost big time .
Du! hata ile chupi chafu iliyotupwa jalalani na wana Arusha JK kaiokota na kuipeleka Kenya!! kweli tz nchi inayoendeshwa kifedhuli....sasa kenya atafanyaje kazi!!maana wa tz wengi waliopo kenya ni wakutoka Arusha na Moshi.........she is heading for disaster and scandles in Kenya....wait and see......
On a bigger note though.....this whole thing shows how ignorantly and redundantly this country(Tanzania)is run......
Just a formality, a protocol thing..... most of them are retired top spies na kabla nchi yeyote haijakupa diplomatic immunity, lazima wajue wewe uko vipi. Hata ukitaka kusafiri nje mataifa mengine hukucheck out.
Siku hizi kuna PR companies ambazo zipo chini ya lobbyists wa US, EU, China, Japan.. etc na ukitaka connections za kuonana na Obama, sarkozy, Merkel, Hu Juntao etc, unawalipa half a million halafu unasukiwa connection.
Hawa mabalozi hawan sana maana siku hizi, wala msilikuze hili, ni fadhila tu.