Kp@work,
Wameitwa wakahimizwe kuwashauri Waheshimiwa wabunge wakusanye saini mia za kukataa Umaskini
Wameitwa wakahimizwe kuwashauri Waheshimiwa wabunge wakusanye saini mia za kukataa Umaskini
Tuwe wavumilivu, saa 9 sio mbali... Afu tukumbuke next wik JK atakuwa D.C, kwa hiyo ili swala lazima alimalize ASAP...
Mwanaume alikuwa mzee wa Ruksa aliyeita mawaziri na baada ya dakika chache wakajikuta hawana kazi ndipo wengine walipokimbizwa ICU. Huyu JK analiogopa Baraza la mawaziri alilochagua mwenyewe!!!!
..acha hizo ukisikia mtu muongo ni wewe umejuaje,watu wengine mnastahili kutukanwa ila tunaogopa ban ila yakitufika shingoni tutawatukani kama ni ban poa,hamna kazi za kufanya
U mean Dakawa College?
Hatimaye Rais Jakaya Kikwete atatangaza Baraza la Mawaziri saa 10 Jioni ya leo Ijumaa.
SOURCE: Bigbro.
cna iman na mawaziri wapya nahic mambo yatakuwa yaleyale tu.
Ni washington D. C, ameitwa na obama wakazungumzie dili zao za uranium...
Unaweza kuta anaaga kwenda Camp David kwenye mnuso...
Na kuwahimiza waandishi habari wawaeleze wadanganyika umuhimu wa mnuso huo!!
kw hivo unataka kutuambia the storm is over now au tuendelee kuimba i believe i can fly?
Hapo sasa
Nahofia uwepo wa Pinda tu kwenye baraza hilo!
Pinda ni stooge!...fullstop!