Rais John Magufuli tutamlipa nini?

Rais John Magufuli tutamlipa nini?

Watumishi wa umma hawana Cha kumlipa,zaidi ya kumdai pesa alizowadhulumu kuanzia kupanda madaraja, alizowadhulumu malimbikizo ya waliopanda madaraja kabla na baadae kufuta barua za awali na kuwapa mpya ili kukwepa kuwalipa malimbikizo yao,nyongeza za mishahara iliyo katika mikataba yao,posho za likizo,kupandisha vyeo kwa ukabila,udini na ukanda bila kuzingatia taratibu za kiutumishi,kuwasengenya n.k
 
Mshahara anaokula? 1.5Trillion iliyopigwa? Kazi zinazofanywa na kampuni zake? Msamaha wa kodi anaokula? Kuishi bure na kulipiwa kila kitu?
Bado mnataka tumpe nini kingine? Mpe maisha yako sasa maana hakuna kilichobaki.
All in all ni rais mbovu, amejaa kichwa
 
Mi najiuliza tu, tutalipaje hili Deni kubwa la Taifa linalozidi kukua kila siku kwa ajili ya miradi white elephant?
Iko hivi nyie watu weupe kwenye masuala ya uchumi.

Deni la taifa linakua ndiyo. Linakuzwa zaidi na deni la sekta binafsi.

Deni la serikali (umma) linapungua kutokana na ulipaji mkubwa (kila mwezi ni bil 500-700) tofauti na awamu iliyopita ambapo kiasa kama hicho ndiyo kilikuwa kikikusanywa kwa mwezi (bil 600-850).

National debt = Gvt debt + Private sector debt.

Sijui mnakwama wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pendekeza alipwe nini juu ya mshahara wake na marupurupu mengine.
 
RAIS wala hahitaji kuandikiwa insha kama hizi, anajua kazi zake na kila mtu anajua, au wewe unadhani unajua zaidi ya wengine? kura tunampa na wewe hupati kitu hata ukijitaja kwa majina sita.

DONT EVER DISTRACT THE PRESIDENT
 
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽 Unamlipaje anakiuka katiba ya nchi, anayedharau Bunge, mahakama na pia kutudharau Watanzania? Huyu ni mtu anayestahili kuwa lupango.

Mie nasema Mungu ndiye Hakimu atamlipa kwa majira yake.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Maandamano na kumtoa kwa nguvu ya umma.Naninyi wapambe tutawachalaza kama walivyomfanya Mariamungu yule aliyekuwa mpambe wa Idd Amin.
 
Kwani halipwi mshahara hadi tufikirie cha kumlipa?
 
Atalipwa na Mungu!
Eai5CelWAAISpUV.jpg
 
Back
Top Bottom