Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
wewe na handsome wako wote Masaburi
Sniper mie nakubaliana nawe sana sana na hasa ikifikia kwa huyu uliyemjibu hata yeye anatumia Masaburi kuendesha mambo yake .
wewe na handsome wako wote Masaburi
Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
<br />Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
Kaka ufafanuzi wa Ikulu una walakini wa makusudi unatoa maswali zaidi kuliko majibu ukisoma tunaambiwa aliyetoa zawadi ni huyo mwarabu ambaye ni mmliki wa hoteli ya kilimanjaro lakini Ikulu inasema hoteli ya Kilimanjaro haijawahi kutoa zawadi,nilitegemea majibu ya Ikulu yangekuwa yanamhusu mmiliki wa hotel na sio hotelHii habari meshaexpire siku nyingi na ikulu tayari imeshalitolea hili swala ufafanuzi. Waandishi siku hiz naona wamekosa cha kuandika
Ukweli unauma eh kumbe nguo zote anazovaa ni za kuhongwa? ni aibu kweli mwanaume kuhongwa kama mwanamke
FF, you are a great lady with brilliant brain and you have 'PSI' powers za communications, nimekunite humu jf, unazitumia for 'provocations' and they work very well. Jifanyie self assesment usije kuwa ni miongoni mwa 'masochic' ladies na unachokifanya humu ni kupractice 'masochisim' bila kujijua. Nakushauri use you PSI powers for a better use than this, unless umejiridhisha mwenyewe kuwa this is the best you can do, japo mimi naamini 100% sure you can do better than this!.Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
HEY!! KUMBUKA HUYU NI RAIS. There is no any single code of conduct that would allow such malpractice. Even the TISS would have been in a position to counter/prevent this nuisance!. Nchi inaweza kuuzwa tukiendelea kuwa na mtazamo finyu kama huu!!Kwa mazingira yetu ya kitanzania (2005) nadhani mpaka sasa hili si suala la kumlaumu sana JK, kwani watanzania wengi wanautamaduni wa kupokea vi zawadi, kwa hiyo hili suala mpaka kuja kufikia ukomo ni mpaka kizazi labda kijacho. Mfano ulaya mtu ukimpa zawadi anakuuliza maswali mengi na hata viongozi wa serikali akipewa zawadi anatakiwa aiweke wazi na pengine asiichukue kuogopa kuharibu sifa yake. Kwa hiyo kwa hili nchi kama Tanzania na watu wake tunahitaji kujifunza na kuelewa kuwa zawadi siyo nzuri na hili limekithiri sana kwenye serikali yetu (Mfano halisi nilishuhudia na kila siku inaendelea kutokea=Board of directors wa asasi mbalimbali za serikali hupokea either laptop mpya, au pesa eti kama zawadi).
Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
<br /> <br / uhandsome wake unatuhusu vip watanzania na mali zetu? We mbona huna akili ht tone,Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.