<br />Ah! Wekeni na hawara zake kabla hajawa Rais basi. Haya yanatusaidiaje sasa?
Hii habari meshaexpire siku nyingi na ikulu tayari imeshalitolea hili swala ufafanuzi. Waandishi siku hiz naona wamekosa cha kuandika
FF huwa unaniacha hoi na majibu yako ya kung'ata.Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
vijigazeti vingine bana,sasa hii ndio habari?huyu kubenua anawashwa. Atafute habari fresh na zenye maana sio hizi zilizo pitwa na wakati. wewe mzee wa kubenua, hata ufanye nini ccm hawakupi kitu. Utabaki na njaa zako tu.
Hivi huyu bado macho mazima?
Akianza kupaka CHADEMA wote mtamgeuka, kwani hatuwajui nyie. Undani gani anao tueleza tusio ujua? Hakuna jipya hapo, hyo habari ilishaliwa na kuharwa siku nyingi.Kwa nini umekuja huku kwenye gazeti lenye kukulazimisha kufikiri zaidi na kukulezea kiundani zaidi hadithi iliofichama nyuma ya kashfa na sakata zima tulionalo hapa wakati unajua fika kwamba gazeti pekee linaloimba nyimbo mzipendazo wewe Faisal Fox, Mwita25, Kishongo, Rejao na wengine wachache wa ina yenu kuwa gazeti ni UHURU pale barabara ya Lumumba??????????????
Hii habari meshaexpire siku nyingi na ikulu tayari imeshalitolea hili swala ufafanuzi. Waandishi siku hiz naona wamekosa cha kuandika
Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
Kaumbuka sasa?Wapi suti? wapi 1bl za Uchaguzi 2005?Wapi kibali cha hoteli za mbugani?Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
si bure lazima amekufanyia kitu, huwezi ukamtetea kiasi hiki!Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
vijigazeti vingine bana,sasa hii ndio habari?huyu kubenua anawashwa. Atafute habari fresh na zenye maana sio hizi zilizo pitwa na wakati. wewe mzee wa kubenua, hata ufanye nini ccm hawakupi kitu. Utabaki na njaa zako tu.
Hivi huyu bado macho mazima?
jipendekeze tu dada uzuri wa huyu jamaa anamega na kutambaa.Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.
....hauliwi, isipokuwa nimeona waswahili wakila utumbo wa kuku siku hizi.mmh,utumbo wa kuku.
<br />Wamekosa ya kuandika. Vijiba vya roho vimewakaa. Mtamuona hivi hivi handsome man, hata akivaa gunia anapendeza. Wambili havai moja, wastara haumbuki.