Rais Jakaya Kikwete aanikwa...

Rais Jakaya Kikwete aanikwa...

Hayo maendeleo unayotaka watu wanzumzie ni yapi ? Hebu fafanua vyema




Mtabaki hivyo hivyo na vijiba vya roho. Ongeleeni barabara, shule, maji, hospital, demokrasia, kilimo, viwanda, umeme, ndio vitu vitakavyo kusaidia wewe na mimi na Mtanzania mwingine. Muoneshe katika hayo yote ni Rais yupi aliyefanya zaidi yake, halafu muoneshe yeye afanye nini kuongezea au kurahisisha hayo majukumu, na si nini anavaa. Watanzania watu wa ajabu sana badala ya kuongelea maendeleo mnaongelea mtu anavaa nini. Mnanshangaza jinsi vichwa vyenu vinavyofanya kazi!
 
Ukweli unauma eh kumbe nguo zote anazovaa ni za kuhongwa? ni aibu kweli mwanaume kuhongwa kama mwanamke

Hamna la kusema. Mtakufa navyo vijiba vya roho na JMK ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio Makamu wa Rais na Dr. Ali Mohamed Shein ndio Rais wa Zanzibar na Double Seif ndio makamo wawili wa Rais wa Zanzibar. Unalo? ngojeni mjaribu bahati yenu 2015 na kwanza Igunga sijui vipi?
 
Urais sio mchezo bhana Nyerere alisema hilo sasa mnaona? waswahili kuwapa nchi kuongoza tabu kweli

Huyo Nyerere wako alipewa nchi na waswahili, na siku tukikataa sisi haongozi mtu Tanzania, kumbuka hilo. Nyie wakuja tu hata mfanyeje.
 
Huyo Nyerere wako alipewa nchi na waswahili, na siku tukikataa sisi haongozi mtu Tanzania, kumbuka hilo. Nyie wakuja tu hata mfanyeje.
Hivi Tanzania nzima imejaa Waswahili? Ukienga Bukongo, Kaziba, Ngoreme, utakutana na Waswahili huko, haswa wa aina unayozungumzia weye?
 
Pablo Escobar japo hakuwa mtu mwema saana aliliona hili miaka zaidi ya thelathini iliyopita! Sasa ni vitendo
 
Back
Top Bottom