Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
WAZEE WA SRC:
SRC NI TBC TAIFA
Rais wa afrika ya kusini mh jacob zuma anatarajiwa kuoa mke wa nne Mwisho wa mwezi huu kwa kumuoa mchumba wake gloria bongi.
Gloria anakuwa mke wa nne wa mh zuma ambae ana watoto 21 na anatarajiwa kupaata
Wa 22 kutoka kwa mchumba wake huyo.
Kwa taarifa hiyo inanionyesha jinsi gani rais huyu ni mzinzi anatembea na mwanamke
Kabla ya ndoa sijui na yyeye akimegewa anasemaje
Kwenu wana ndoa mliotia mimba kabla ya kuoa.
SRC NI TBC TAIFA
Rais wa afrika ya kusini mh jacob zuma anatarajiwa kuoa mke wa nne Mwisho wa mwezi huu kwa kumuoa mchumba wake gloria bongi.
Gloria anakuwa mke wa nne wa mh zuma ambae ana watoto 21 na anatarajiwa kupaata
Wa 22 kutoka kwa mchumba wake huyo.
Kwa taarifa hiyo inanionyesha jinsi gani rais huyu ni mzinzi anatembea na mwanamke
Kabla ya ndoa sijui na yyeye akimegewa anasemaje
Kwenu wana ndoa mliotia mimba kabla ya kuoa.