kweli marais wa afrika wakishindwa kuongoza nchi ndio kazi wanayoiweza kama sio kuoa basi kuzunguka nchi za wenzie mana wameshindwa kuongoza nchi zao kazi kweli kweli
...zuma ni mwanaume wa shoka ambaye anaweza kumudu wanawake wengi tofauti na vjana wa leo ambao ht mke mmoja kummudu ipasavyo kazi...kzuri zaidi ametangaza kuwa anaoa tofauti na v'ongozi wetu wengi wa Afrika km JK ambao uharibu watoto wa watu kimyakimya (kanumba style)....congrats zuma though napenda kufaham dini yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.