Mimi nafikiri kama ana CV nzuri na uzoefu wa kutosha kwenye mambo ya Diplomasia haina shaka.Dini yake sio suala la msingi sana tunachojali zaidi ni uwezo wa mteule kiutendaji.
Siunajua mambo siku hizi ni mbio mbio na ushindani wa kiuchumi uko juu,tusipokuwa makini katika uteuzi wa watumishi wa Serikali tutabaki nyuma kiuchumi katika Afrika ya Mashariki kwani hapo ndio kipimo chetu.
Siyo jazba, sijamtukana mtu. Bali serikali imelaumiwa mno kwa utendaji mbovu wa wengi na wachache innocent tunaumia kwa sababu kama kweli unaipenda Tz na amani na utajiri tulikuwa nao basi ni lazima uumie. Sina frustrations na kitu chochote kaka/dada. Nasikitika tu kuwa wachache watendaji wazuri serikalini wanaumia bali wengine wanafanya wajuavyo wao. Sikurupuki. Tumia lugha ambayo ni ya mtu mstaarabu. Ninajua ninachiokifanya. Do not assume to much!!!!!! Tuseme ukweli siku zote na mambo yote yawe transparent!!!!!
Utendaji mbovu unasbabisha na hawa jamaa wa kushoto kujazana serikalini, Wameachiwa serikali tokea baada ya uhuru, walichokifanya walijaza umasikini kila kona, chakula, usafiri, mavazi, hakuna nchini, Barabara mbovu, Nguvu kazi, kodi ya kichwa, wanasaini mikataba mbovu, biashara ikafanyika ikulu nimengi tu!!!
Sasa lazima wapanguliwe kidogokidogo ilitujikwamue na umasikini uliotujaa, mafisadi kila sehemu, hujui umkaate nani umuache nani!!
Tuweke viongozi wenye busara, wasio na tamaa, wavumilivu, wapenda nchi walioshiriki kutafuta uhuru, wanaopenda ushirikiano na kila nchi bila kujali dini au kabila.
Picha yake wakati wa Mzee Ruksa ilikuwa maridhawa, sasa sijui Sasa. Lakini madhali alikuwa huko majuu, ngozi bado itakuwa nyororo plus appearance.mimi nataka nione picha yake ndio nita comment
Ikiwa Andrew Daraja kajiuzulu, kwa nini huyu Mama apewe kazi na huku anayo miaka kama ya Daraja? Daraja alikuwa mwaka wa kwanza hapo Mlimani 1966!
Mama huyu alimaliza Tabora Girls mwaka 1966. Kaingia hapo Mlimanai kuchukua Diploma (sio digrii kamili - nadhani hakufaulu kuingia Chuo Kikuu) ya Utawala (Public Administration)!
Umejuaje Daraja kajiuzulu?
Utendaji mbovu unasbabisha na hawa jamaa wa kushoto kujazana serikalini, Wameachiwa serikali tokea baada ya uhuru, walichokifanya walijaza umasikini kila kona, chakula, usafiri, mavazi, hakuna nchini, Barabara mbovu, Nguvu kazi, kodi ya kichwa, wanasaini mikataba mbovu, biashara ikafanyika ikulu nimengi tu!!!
Sasa lazima wapanguliwe kidogokidogo ilitujikwamue na umasikini uliotujaa, mafisadi kila sehemu, hujui umkaate nani umuache nani!!
Tuweke viongozi wenye busara, wasio na tamaa, wavumilivu, wapenda nchi walioshiriki kutafuta uhuru, wanaopenda ushirikiano na kila nchi bila kujali dini au kabila.
Sorry! Tuliambiwa kastaafu!
Kuhusu CV ya huyo Mama:
Sijui kwa nini hakuingia hapo Mlimani kuchukua digrii...wakati huo ukiwa na principal moja na subsidiary moja, unapokelewa. Lakini kaingi kuchukua Diploma ya Public Administration (ya mwaka mmoja)...kabla ya kuhamishiwa Mzumbe kutoka Mlimani.
Kafanyakazi serikali hadi kupanda ngazi wakati wa Mzee Ruksa na kuwa Katibu Mkuu.
Kazi za UN ni za aina mbili: Mosi, imprerssive resume, academically. Pili, nyingine ni political in a sense kuwa kuna nafasi na inahitajiwa kujazwa na nchi fulani au a region. Kawma nchi ikikuchagua, unapata au mnagombania ki-region na wakubwa wa politics wa kwenye region kukubaliana, kwa mfano, Afrika mashariki, Afrika, Nchi Changa, n.k.)
Mama huyo kaipata hiyo ki-political kutoka kwa Mzee Ruksa. The rest is history!
Sorry! Tuliambiwa kastaafu!
Safiiiii. Sina utaalam sana wa majina, especially femine names!!! Je huyu ni mwanamke au mwanaume??? Ila angalao najua ni jina la Kiislam. Hongera mzee wa kaya. Fadhila unazijua. Kama vile ambavyo taarifa zipo kuwa kila majina matatu yanayotakiwa kupelekwa kwa vetting ni lazima mawili yawe ya Waislam or at least one!!! It means asikosekane katika list!!!! Na kwa sababu you think you are minority then ni lazima Athman na Asha wateuliwe/kupitishwa. Kwa mtindo huu, ndiyo maana tunaona utendaji ulivyo kwa sasa. Soma alama za nyakati mzeee. Wenzako wajanja wana mix au kutafuta vichwa vya kuleta ufanisi. Mbona tusiangalie hata mheshimiwa Obama katika uteuzi??? Alitafuta vichwa hata kama vilikuwa karibu naye lakini hakufanya makosa na kila Wamarekani wanafurahia kwa kutumia vema Demokrasia yao November mwaka jana. Sisi je, ushikaji, undugu, u yakhe, unini , uule n.k.
Inawezekana ana sifa maana alikuwa U.N. Who knows. Yote yanaweza kuwa sawa.
Je, sentensi hii haileti maana ya Balozi Daraja kustaafu?
...Balozi Andrew Daraja...alihitimisha mkataba wake wa utumishi wa umma." [/SIZE]
Mkuu hata ww unafikra kama hizo????Safiiii. Tudondosheeni CV yake. Among, ionyeshe umri. Hapo tutaona his/her appropriateness!!!!
Mimi nataka vetting ya high level appointments ifanyike na Bunge kwa maswali ya Wazi kama kule marekani na kwingineko ambako kuna demokrasia ya kweli. Apointees wote waitwe mbele ya Bunge kwa maswali.