Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,462
- 29,159
Mkuu naona mmeanza kusambaratika vipi kwan Lumumba wapo upande wa Nani yule ambae Nape kamsema auNi !Nani house boy au messenger?
Mkuu naona mmeanza kusambaratika vipi kwan Lumumba wapo upande wa Nani yule ambae Nape kamsema auNi !Nani house boy au messenger?
Nimemwona Rais akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlinzi mbele za wananchi. Si sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia.
Si sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.
Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi.
Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.
Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi.Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi.Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Kinana anamuita mshamba, nape anasema kachanganyikiwaNimemwona Rais akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlinzi mbele za wananchi. Si sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia.
Si sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.
Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi.
Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.
Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi.Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi.Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Kwahiyo unampinga rais? acha kumpangia Rais wetuNimemwona Rais akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlinzi mbele za wananchi. Si sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia.
Si sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.
Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi.
Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile namva yake kwa mfanyabiashara
Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi.Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi.Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Khaaaaaa anamsaidia Hadi kuvua suruali na liboxer lake wakati wa kupupuuuu???Huyo waga sio mlinzi dada angu huyo anaitwa AID de camp hapo anakuwaga Hana ata kiwembe yeye kwajiri ya kumsaidia rais kwenda chooni, Kula,kunywa maji, nk
Walinzi wako wengi alipopeleka jina bungeni walikuwepo wengine .Wasaidizi wa Raisi wako wengi aweza mtuma yeyote Kama Kuna umbali Sio kumtoa huyo wa mgongoni .Mbona wako kibao tu na wanafahamiana akitaka kitu kwenye mkutano aweza chomoka yeyote akaenda. Akamkabidhi bosi wake bosi wake akamkabidhi msaidizi wake huyo wa mgongoni bila ya Huyo kutoka
... Ma-RPC wana uniformed bodyguards. Nao tusemeje?....
Ishara ya kumtambua ni vazi ( uniform)
...
Umewahi kuona Rais mstaafu, PM au makamu wa Rais nyuma yake kuna Uniformed Officer?
Wewe ndani ya ccm ni sawa na kikaragosi tu hivyo huna mamlaka yeyote ya kumkosoa mwenyekiti wakoNimemwona Rais akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlinzi mbele za wananchi. Si sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia.
Si sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.
Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi.
Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile namva yake kwa mfanyabiashara
Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi.Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi.Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Nchi ya amani hii,hakuna haja hata ya hao walinzi!Napendekeza wapunguzwe zaidi ya 2/3!
Nyie ndio wale kila anachomifanya mh. Rais mnapiga makofi, imekuake tena? Au mikono imeenza kuuma?
Mkuu, hapo umemaliza mjadalaNdio maana anawaita Pumbavu. Maana hamumuelewi.
Walinzi wako wengi alipopeleka jina bungeni walikuwepo wengine .Wasaidizi wa Raisi wako wengi aweza mtuma yeyote Kama Kuna umbali Sio kumtoa huyo wa mgongoni .Mbona wako kibao tu na wanafahamiana akitaka kitu kwenye mkutano aweza chomoka yeyote akaenda. Akamkabidhi bosi wake bosi wake akamkabidhi msaidizi wake huyo wa mgongoni bila ya Huyo kutoka
Ndio maana anawaita Pumbavu. Maana hamumuelewi.
Unawafundisha kazi kitengo?
Waswasi wako ni nini?,lililopangwa na mungu mwanadamu hawezi kuliziwia,endelea na majukumu yako ya kujitafutia riziki,ya ngoswe muachie ngoswe