idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
Kabisa.!Nchi ya amani hii,hakuna haja hata ya hao walinzi!Napendekeza wapunguzwe zaidi ya 2/3!
Kabisa.!Nchi ya amani hii,hakuna haja hata ya hao walinzi!Napendekeza wapunguzwe zaidi ya 2/3!
wanachoshindwa kuelewa ni kuwa Rais ni amir jeshi mkuu, na yule ni mpambe wake wa kijeshi kwakuwa yy ni amir jeshi mkuu,, kama ilivyo Kwa mkuu wa majeshi nae ana mpambe wake kutoka hukohuko jeshini kwao kama ilivyo kwa amir jeshi wao,Yule sio mlinzi, ni mpambe... Mbona akiwa anapokea zawadi za Rais hujasemea hilo kuwa atapoteza umakini? Kazi yake ni kumsaidia Rais mamno madogo madogo kama kupokea vitu
Ni kwa sababu pia hawezi zuia mtu amdhuru Rais... Ila mlinzi kamili ni yule jamaa wa kaundaAide de Camp
( ADC)
Uswahilini tunaita mlinzi
Ni !Nani house boy au messenger?
Ngoja ifike jioni tusikie kuwa yamenaswa mazungumzo kati ya YEHODAYA na Wakudadavuwa wakimsemanga Mwenyekiti wao wachama kumzuia asitimize dereva na mlinzi wake mbele za wananchi kama katiba yao inavyo taka.Nimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
An Aide de Camp French expression meaning literally helper in the [military] camp) is a personal assistant secretary to a person of high rank, usually a senior military, police or government officer, or to a member of a royal family or a head of statAide de Camp
( ADC)
Uswahilini tunaita mlinzi
Huyo waga sio mlinzi dada angu huyo anaitwa AID de camp hapo anakuwaga Hana ata kiwembe yeye kwajiri ya kumsaidia rais kwenda chooni, Kula,kunywa maji, nkWalinzi wako wengi alipopeleka jina bungeni walikuwepo wengine .Wasaidizi wa Raisi wako wengi aweza mtuma yeyote Kama Kuna umbali Sio kumtoa huyo wa mgongoni .Mbona wako kibao tu na wanafahamiana akitaka kitu kwenye mkutano aweza chomoka yeyote akaenda. Akamkabidhi bosi wake bosi wake akamkabidhi msaidizi wake huyo wa mgongoni bila ya Huyo kutoka
mkuu mbali na kuwa kawekwa kama ishara ya amiri jeshi,lakini hayo ndio majukumu yake mengine.Kanali mzima hawezi zuia acha hizo Sio kweli
Nimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Hivi mlinzi wa rais unamjua ngugu?Nimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Zigo lenu hili sasa sisi tulisaidieje? Tumeelimisha tumechoka sasa labda tumng'oe kwanza hapo mwakani halafu tutupe jela Mfungwa MtarajiwaNimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Yeye ni Kanali na Rais ni Amir Jeshi MkuuKanali mzima hawezi zuia acha hizo Sio kweli
Yule anayekaa nyuma ya rais ,nimsaidizi wake sio mlinzi(japokua likitokea lakutokea atajishughulisha nae kwenye uokozi.walinzi wa rais niwale jamaa wapembeni.ndowenye shughuli yao,huyu wanyuma elewa nimsaidizi wake..mpiga hadi pasi nguo,kutandika kitanda na mengineyo(mpangilio wamavazi).usijisahau ukadhani mkewake janeth ndo anamtandikia kitandaNimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Kaka kwan nawe unaungana na akina Nape auAide de Camp
( ADC)
Uswahilini tunaita mlinzi