YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,889
Nimemwona Rais akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlinzi mbele za wananchi. Si sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia.
Si sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.
Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi.
Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile namva yake kwa mfanyabiashara
Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi.Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi.Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Si sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.
Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi.
Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile namva yake kwa mfanyabiashara
Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi.Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi.Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .