Rais anisukuma nipigane vita

Rais anisukuma nipigane vita

Nashukuru mkuu,
I promis to be publicized before 15/01/2014
Na kwa hili Mwigulu hawezi kuchomoka wala kujitetea kwani ni kweli aliongea na kutoa viashiria vyote juu ya yale yaliyotokea soweto.

NB:
Ushaidi nilionao na ule Chadema wanaosema wanao ni tofauti kabisa na nitasimama juu ya kile nilichokiona na kukisikia na sio kuhisi au kuambiwa. Sitoogopa.

pole kwa yaliyokukuta ndg yangu tunakuombea kwa Mungu usiku na mchana,Mungu asikutupe
 
Ndugu MKUU WA KAYA, Sasa baada ya kupewa hiyo warning ilikuwaje wewe ukapoteza mtoto wako?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tuamini nini tuache nini, mnatuchanganya mno!! Mbona M.Nchemba hana sura ya FRANKENSTEIN, sasa ukatiri mnao mtuhumu kajifunza wapi? kama nakumbuka vizuri niliwahi kuona picha aliyo kuwa amembemba mtoto wake mgongoni kwa mbereko, kisaikolojia hii inadhilisha nini? kwamba ana traits za u-split personality i.e ni mtu mwema kwa familia yake na close relatives lakini hajali Watanzania wenzake anao tofautiana nao kihitikadi - maanake hii ndio impression inayo tolewa na members wengi humu jamvini!! Binafsi siamni kama ana ukatili wa namna hiyo - he may be a forceful speaker lakini I don't think Nchemba is some monster - if my memories serves me right I don't recall M.Nchembe eating anyone dead or alive!! Kitu kingine kuna thread aliyo kuwa anajieleza kilicho jiri - watu wengi walimjibu lakini yeye alikaa kimya kwa nini hamjiulizi ni kwa nini? Mimi sio kwamba namtetea Nchemba au Nchimbi, kwanza hawanijui - ila wakati mwingine tujaribu kuchambanua matukio kwa kina - kwa watu wenye uelewa wa fani ya IT na Security hivi inaingia akilini kwamba Waziri nzima anaweza kutumia Webmail kuwasiliana na mwenzake masuala sensetive alafu ataje majina alisi, saa na sehemu ya kukutana na list ya watu wa kuwa-eliminate physically - hii inaingia akilini KWELI? Hivi Taifa letu limekwisha fikia hatua ya kuteua Viongozi ambao wako so SLOPPY, hawajui tofauti kati ya E-MAIL na Snail Mail wasijue mambo ya usalama wanapo pitisha E-mails zao kwenye CLOUD? hawajawahi kusikia cerficates, publickeys na privatekeys - JAMANI.
 
Pole sana Mkuu wa Kaya,
Nilikuwa nafuatilia jinsi ulivyotoa dukuduku zako na kwa bati mbaya kwenye post zako kwenye ile post ya Mwigulu Nchemba juzi Ulijifuna kidogo na kueleza kuwa wewe ulishawai kugombea udiwani kupitia tiketi ya ccm mwaka 2010 katika kata ya Elerai Jijini Arusha.

sasa mimi ninaishi Arusha katika mtaa wa Kata ya Ngarenaro ambayo ipo karibu na Kata ya Elerai na baada ya kuona maelezo yako nilitafuta kumfahamu aliegombea udiwani 2010 kata ya Elerai kwa tiketi ya ccm na nikafanikiwa, Nikakuta mgombea udiwani alikuwa ni mmasai anayeitwa Bw. Ole Laizer ambaye ni kweli alipoteza mtoto kwenye mkutano wa Chadema.

Kiukweli maneno yako yamefanana kwa kiasi kikubwa na uliyoyasema ila ushauri wangu ni JIANGALIE KWA UMAKINI SANA NA JITASMINI TENA , siasa ni mchezo mbaya unaweza ukapoteza kizazi chako chote.
 
Mkuu ya kaya, nakusikitikia sana au pengine sijakuelewa vizuri. Kwanza unasema ulihudhuria kikao kwasababu ulikuwa unampigia kampeni mgombea mmojawapo wa CCM, Pili ulisikiliza yote yaliyosemwa ndani ya kikao hicho, Tatu mwanao aliuwawa kwenye mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA. Hebu nithibitishie kama kweli nimekuelewa vizuri au sijakuelewa maana kuna kitu nataka nikushushue!!
 
Mkuu tuamini nini tuache nini, mnatuchanganya mno!! Mbona M.Nchemba hana sura ya FRANKENSTEIN, sasa ukatiri mnao mtuhumu kajifunza wapi? kama nakumbuka vizuri niliwahi kuona picha aliyo kuwa amembemba mtoto wake mgongoni kwa mbereko, kisaikolojia hii inadhilisha nini? kwamba ana traits za u-split personality i.e ni mtu mwema kwa familia yake na close relatives lakini hajali Watanzania wenzake anao tofautiana nao kihitikadi - maanake hii ndio impression inayo tolewa na members wengi humu jamvini!! Binafsi siamni kama ana ukatili wa namna hiyo - he may be a forceful speaker lakini I don't think Nchemba is some monster - if my memories serves me right I don't recall M.Nchembe eating anyone dead or alive!! Kitu kingine kuna thread aliyo kuwa anajieleza kilicho jiri - watu wengi walimjibu lakini yeye alikaa kimya kwa nini hamjiulizi ni kwa nini? Mimi sio kwamba namtetea Nchemba au Nchimbi, kwanza hawanijui - ila wakati mwingine tujaribu kuchambanua matukio kwa kina - kwa watu wenye uelewa wa fani ya IT na Security hivi inaingia akilini kwamba Waziri nzima anaweza kutumia Webmail kuwasiliana na mwenzake masuala sensetive alafu ataje majina alisi, saa na sehemu ya kukutana na list ya watu wa kuwa-eliminate physically - hii inaingia akilini KWELI? Hivi Taifa letu limekwisha fikia hatua ya kuteua Viongozi ambao wako so SLOPPY, hawajui tofauti kati ya E-MAIL na Snail Mail wasijue mambo ya usalama wanapo pitisha E-mails zao kwenye CLOUD? hawajawahi kusikia cerficates, publickeys na privatekeys - JAMANI.

Sasa ulichokiandika mbona hakishabihiani kabisa na hii post?
 
Mkuu ya kaya, nakusikitikia sana au pengine sijakuelewa vizuri. Kwanza unasema ulihudhuria kikao kwasababu ulikuwa unampigia kampeni mgombea mmojawapo wa CCM, Pili ulisikiliza yote yaliyosemwa ndani ya kikao hicho, Tatu mwanao aliuwawa kwenye mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA. Hebu nithibitishie kama kweli nimekuelewa vizuri au sijakuelewa maana kuna kitu nataka nikushushue!!


Mkuu mimi na mambo ya mipasho ni vitu viwili tofauti
Elewa nipo Kimzazi/Kitaifa zaidi
 
Sasa ulichokiandika mbona hakishabihiani kabisa na hii post?
Mkuu, kwa mawazo yako unafikiri uzi huu mlengwa mkubwa ni NANI? I am sure unajua ninacho kisema hapa - sio lazima uko-comment , unaweza kusoma uka-ignore na ku-move ON.
 
Mwigulu mrudie muumba wako leo, damu ya watanzania inakulilia.
 
Acha unafiki. Acha kulisha watu sumu, kama ulishiriki kikao hicho kwann hukusema mapema. Huo ni unafiki na uzandiki, tutaaminije maneno yako pasipo kielelezo chochote!!? Wadanganye wasio na uwezo wa kutafakari mambo mimi muelevu siwezi kamwe kuamini uzushi wako. Lindeni heshima ya nchi yetu kwa ukweli. Uzushi utaliangamiza taifa.
 
Ushauri

Kama unayosema ni kweli fungua kesi mahakamani; shirikiana na wajasiri wa chadema ikiwemo wanasheria maana hawan ushahidi tu wa kuthibitisha kama unao amekwisha huyo hii haihitaji hata wale majaji; unatakiwa ufungue kama mshiriki wa kikao pia ufungue kama mwathirika so hiyo kesi iinaisha asubuhi na kumweka korokoroni huyo savimbi; CCM mmeona ubaya wa hawa watu walivyo; niliona na kushuhudia baadhi ya matukio na niliweka hapa kuwa nchimbi na mwigulu ndio wauaji lakini haikuweza kukaa hata dk 2 ikatolewa na yule msaliti na kiongozi wa JF ambaye ameshakula mlungula mpaka amesahau phylosophy yake mwenyewe; we currently don't dare talk openly

To all; the best you can do is to be away from CCM
 
ALIKUWA ANAWATAHADHARISHA NA BOMU LA cHINA, SI UNAONA KILICHOFUATA BAADA YA PALE... YAANI NCHI HII KUNA WATU WANAJIONA NI MIUNGU AISEE..

mliambiwa mjete ushahidi mkajiumauma et tume huru tuaache siasa za matukio
 
Mlango wa mbigu bado upo wazi, Mwigulu tubu dhambi zako mapema usamehe maana kuzimu inakuita.
 
Wakati huo unayafanya haya agana na nyonga kabisa maana hawachelewi kukupoteza wale, kama wanaona poa kuua watu makumi na mamia ya watu kwa mabomu hawashindwi kuku MVUNGI.

we mwanamke una gubu mvungi kufikaje hapa
 

Uko sahii mkuu na wala hukunielewa vibaya.
Nilipanga leo niingie mahakamani na ushaidi wa kutosha wa kumwingiza Mwigulu hatiani, Tatizo ushaidi wa kufungua kesi ya jinai ndio haujajitosheleza kwani ushaidi wa kimazingira upo ila kisheria unaonekana kama ni ushaidi unaoongozwa na hisia kwa upande mkubwa.
Ila ukweli ni kwamba Mwigulu Nchemba is a One Director of Soweto Bom.

Na kudhibitisha hili haitafika Tarehe 15/01/2014 bila kujitokeza kwenye vyombo vya habari na kuweka haya yote hadharani, labda itokee niwe marehemu kama mwanangu.
Ndungu yangu jihadhari Savimbi hata lala usingizi mpaka amehakikisha amekutoa roho.
 
Ushauri

Kama unayosema ni kweli fungua kesi mahakamani; shirikiana na wajasiri wa chadema ikiwemo wanasheria maana hawan ushahidi tu wa kuthibitisha kama unao amekwisha huyo hii haihitaji hata wale majaji; unatakiwa ufungue kama mshiriki wa kikao pia ufungue kama mwathirika so hiyo kesi iinaisha asubuhi na kumweka korokoroni huyo savimbi; CCM mmeona ubaya wa hawa watu walivyo; niliona na kushuhudia baadhi ya matukio na niliweka hapa kuwa nchimbi na mwigulu ndio wauaji lakini haikuweza kukaa hata dk 2 ikatolewa na yule msaliti na kiongozi wa JF ambaye ameshakula mlungula mpaka amesahau phylosophy yake mwenyewe; we currently don't dare talk openly

To all; the best you can do is to be away from CCM

Mkuu kiongozi gani wa JF aliyenunuliwa?
 
Acha unafiki. Acha kulisha watu sumu, kama ulishiriki kikao hicho kwann hukusema mapema. Huo ni unafiki na uzandiki, tutaaminije maneno yako pasipo kielelezo chochote!!? Wadanganye wasio na uwezo wa kutafakari mambo mimi muelevu siwezi kamwe kuamini uzushi wako. Lindeni heshima ya nchi yetu kwa ukweli. Uzushi utaliangamiza taifa.

Mkuu embu Muogope Mungu juu ya lawama unazonishushia, nani angeweza kujitokeza na kueleza haya ninayoyaeleza leo wakati waziri wa mambo ya ndani alikuwa ni Mh. Nchimbi?
Ebu jiulize Dr. Ulimboka wakati anapelekwa S. Afrika kwa matibabu alisema atawataja waliomteka, alipo pona alinyamaza kimya. We unafikiri walipenda waliyofanyiwa. Nchi hiii unafanyiwa chochote na husemi kitu kwa kuwa walioshika mpini wameamua.
Ila kwa sasa ni lazima tufunguke kwani kiza kinaelekea mwisho.
 
Acha unafiki. Acha kulisha watu sumu, kama ulishiriki kikao hicho kwann hukusema mapema. Huo ni unafiki na uzandiki, tutaaminije maneno yako pasipo kielelezo chochote!!? Wadanganye wasio na uwezo wa kutafakari mambo mimi muelevu siwezi kamwe kuamini uzushi wako. Lindeni heshima ya nchi yetu kwa ukweli. Uzushi utaliangamiza taifa.

Mkuu we utakuwa umevuta bangi kwenye jua kali,

hebu futa haraka huu upuuzi uliopost hapa maana unakudharirisha sana.
 
Back
Top Bottom