Rais anisukuma nipigane vita

Rais anisukuma nipigane vita

Tatizo uzi kama huu hauwezi kudumu hapa.

Mods msifunge huu uzi kama mtuhimiwa amekerwa aende mahakamani.

Mwigulu mwenyewe ni mtu wa kutoa tuhuma hadharani hivyo mwacheni nae aumbuke.

Ni mtazamo wangu unaotokana na kuwepo hapa jukwaani kwa muda sasa.
Kuna athari gani ikiwa uzi huu utaendelea kuwa hewani? Hakuna kitu kipya kilichoelezwa humo
 
Ndg mleta mada km ckosei Last wk ulisema leo tar 27 ungefungua KESI mahakamani khs issue hiyo vp umekuja hapa Jukwaani au ckukuelewa vzr! Pia ujue unavyoandika nusunusu hapa hao jamaa ulokuwa nao kwenye huo mpango! Wanakusoma kwahiyo amua 1 km kuFUNGUKA funguka bila kuacha kitu na km hujiamnia potezea!
 
Ndg mleta mada km ckosei Last wk ulisema leo tar 27 ungefungua KESI mahakamani khs issue hiyo vp umekuja hapa Jukwaani au ckukuelewa vzr! Pia ujue unavyoandika nusunusu hapa hao jamaa ulokuwa nao kwenye huo mpango! Wanakusoma kwahiyo amua 1 km kuFUNGUKA funguka bila kuacha kitu na km hujiamnia potezea!
Mkuu, tatizo kubwa la hawa jamaa ni kuwa wakisema tu wanasahau walichokisema. Hivi unafikiri huyu jamaa anakumbuka kweli kama alisema kuwa leo anaenda mahakamani?
 
Walizuiliwa kwa vile wanajua wakihudhuria maafa waliyopanga yatawapata na wao:thumbdown:

Hmmh!
Mleta uzi hajaeka wazi kama alihudhuria hapo alipokatazwa au la!
But just imagine alihudhuria huko alikokatazwa, athari yake ndio kama hivyo kampoteza mwanae!
...
Maswali ya kujiuliza:
how if hakuhudhuria?
.
Na hata akihudhuria, jee ni haki kweli kumpoteza mmwanae?
.
Na jee hao walioua wamepata hasara gani kwa mujibu wa maelezo yako?
 
Mkuu kwa maovu haya ya Mwigulu nina hakika hata Mungu wetu wa haki hapendi!hivyo binafsi nakushauri uendelee kupigana vita hivyo,sala zetu zitakua nyuma yako na mwishowe kila mtu atapata haki yake mbele za Muumba!
 
Pole sana kaka,kupoteza mwanao inaumiza sana.Funguka kamanda,kupoteza mwanao sio jambo la kitoto,linahitaji uvumilivu wa hali ya juu na kama umeamua kuchukua uamuzi mgumu kama huu endelea.
 
Kama Kuna watu wengine tena wanne, mi naona uachwe huu Uzi na kwa kuwa Mwigulu ni memba basi aje akanushe na sio sahihi watu wengine hasa pro-CCM kuharibu mantiki ya Uzi huu maana kwa kuharibu mantiki yake hawamsaidii Mwigulu Bali kuzidi kumharibia
 
Yaani uzi mnaanzisha wenyewe halafu mnajijibu wenyewe. Bora watu wamesusa kuchangia uz huu

Kama watu wamesusa kuchangia sasa ww umefanyaje kama sio umechangia.? Ama kweli kuwa ccm inaitaji akili za kipumbavu.!!? Mwigulu ni hatar kwa ustawi wa demokrasia na siasa za ushindani wa hoja.
 
Good,
Duniani hakuna siri. Mwigulu jiandae kuja na mashahidi kutoka mbinguni utakapopelekwa The Hague
 
Siasa za bongo ni upu.uzi mtupu na kuuana kijinga.jinga!
Itakuaje nchi ya kidemokrasia watu wazuiliwe kuhudhuria mikutano ya wengine?

hujang'amua kitu katika hii kauli? "pili kila mmoja anatakiwa aimize jamiii yake na rafiki zake kwamba siku ya tarehe 15 wasisubutu kwenda kwenye mkutano wa Chadema na yeyote aliopo hapa asisubutu kwenda na atakae enda kitakacho mkuta tusilaumiane"
 
Hizi ni ngonjera za kipuuzi sana. Kwa nini mnahangaika na mariwaya wakati mwenyekiti wenu anasema kuwa anayo CD inayoonesha waripuaji wa bomu pale Soweto?

umeelewa kilichoandikwa au akili yako bado imeganda
 
Mkuu, roho mbaya anayo Mbowe na Slaa ambao wametelekeza familia zao kwa tamaa zao za kimwili


unauhakika kuwa wametelekeza familia zao? Mbona wake zao na watoto hawajatoa neno? Au na wewe ndiyo umetelekeza?
 
Back
Top Bottom