Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,422
- 18,056
Tulipita pagumu kama Taifa, nafuu Mungu alivyomtanguliza MagufuliKuna principle ya Accounting inaitwa "Tone at the top", Maana yake "a term that originated in the field of accounting and is used to describe an organization's general ethical climate, as established by its board of directors, audit committee, and senior management. Having good tone at the top is believed by business ethics experts to help prevent fraud and other unethical practices"
Kwa hiyo kama utawala wa juu una maadili basi itakuwa rahisi kujenga maadili kwa wafanyakazi wa chini.
Kwa issue ya Ole Sabaya, Makonda, Mnyeti na Byakwana wa Mtwara wanaangalia vitendo vya boss wao nao wanaendeleza. Akipora Bureau DeChange au Mabilioni ya DPP nao wanaangalia kwenye eneo lao wanapora. Jiwe ndiyo anavyofanya na anapendezwa na vitendo vya walio chini yake.