Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Mkuu Jiwe ndio anayewatuma, angekuwa hawatumi mbona tungeshawasahau.
DC sabaya ni mtindaga fulani mpenda sifa za kishamba sana, walikuwepo akina Maliyamungu yule msaidizi katili mwenye roho mbaya kama ya Daud Bashite enzi za Iddy Amin Dada wapo wapi sasa? Hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni Aibu.Huna lolote wewe! Mwache Mh. Sabaya aendelee kuwanyoosha. Huyo Lema alishanyooshwa na RC Ngambo sasa naona anahamia kwa DC Sabaya. Mpelekee ujumbe huyo Lema wako kuwa DC Sabaya siyo size yake asije akalia kama mtoto mdogo!
alikuwa ni nani huyu ambae alipewa cheo cha RC?Aliyeng'oa mboga za Mbowe alipandishwa na kuwa RC , huyo anayewateua ndivyo anavyowaagiza , ni aibu sana
Walikuwepo akina Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, chiluba, Abacha, mabutu, Iddy Amin, Elbashiri na wenzao wenye Roho mbaya pengine kuliko huyo Sabaya na Bashite leo hii wapo wapi?Lema is wise sana. Huyu Sabaya is gonna pay for all the shit he is doing.
DC ndiye bure ananyanyasa wachaga wakati yupo kwenye mkoa wa wachagaYaani Lema bure kabisa, anamtukana mmasai wakati yeye ni Mbunge katika mkoa wa wamasai.
Mbona tunasema "usicheze na wakurya" tukiwa Tarime? Ukienda Singida unaambiwa usifanye mchezo na watoto wa kinyalu wewe!
Kule kwa Majaliwa Ruangwa niliwahi kuambiwa "ogopa community ya wamwera! Utapigwa mauno urudi Dar unachechemea"
Jee huo ulikuwa ubaguzi?
Byakanwa ni RC Mtwara ( niko tayari kusahihishwa )alikuwa ni nani huyu ambae alipewa cheo cha RC?
Wacha ujinga dadaSasa hapo anahusika vipi hizo hulka za wakina Sabaya msimuhusishe Mh. Magufuli
alafu Lema mbunge wa Chuga Hai alikwenda kufanya nini
huyo katibu mwenezi ni mahaba yake tu
Wewe unachojua ni kukata viuno wanaume wakijadili mambo wewe tuliza kishundu.Kama umeshindwa kumtoa Mbowe madarakani. Utaweza rais?
Liambie hilo zwazwaUlidhani ni wanyalu(kolo) wa Iringa? Wanyiramba nao wanajulikana hivyo!
Achana na hilo dangaMimi sio mchaga lakini acha wivu wa kike. Kaibe na wewe ujenge iyo mijumba. Una roho ya kimasikini.
Byakanwaalikuwa ni nani huyu ambae alipewa cheo cha RC?