Jana katika mkutano wako na wateule wa uwaziri na manaibu, mojawapo ya mambo uliyoyakazia ni kuheshimu taasisi ya Urais.
Umekwenda mbali na kusema kama anayeikalia taasisi hiyo humpendi/ humheshimu, basi iheshimu taasisi hiyo.
Mh. Rais, taasisi inakuwa defined na mtu aliyeikalia. Huwezi kutenganisha taasisi ya Urais na mwenye mamlaka ya taasisi hiyo.
Tabia na matendo ya anayeikalia taasisi hiyo ndiyo KIOO cha Heshima ya taasisi hiyo.
Ukitenda haki na wewe ukajiheshimu, utaheshimiwa bila kudai kuheshimiwa. Hàya ya kesi ya Mbowe na wenzake, hayawezi, kwa mtu mwenye akili timamu akaiheshimu taasisi ya Urais. Ni hayo kwa leo.
Kazi njema.
Umekwenda mbali na kusema kama anayeikalia taasisi hiyo humpendi/ humheshimu, basi iheshimu taasisi hiyo.
Mh. Rais, taasisi inakuwa defined na mtu aliyeikalia. Huwezi kutenganisha taasisi ya Urais na mwenye mamlaka ya taasisi hiyo.
Tabia na matendo ya anayeikalia taasisi hiyo ndiyo KIOO cha Heshima ya taasisi hiyo.
Ukitenda haki na wewe ukajiheshimu, utaheshimiwa bila kudai kuheshimiwa. Hàya ya kesi ya Mbowe na wenzake, hayawezi, kwa mtu mwenye akili timamu akaiheshimu taasisi ya Urais. Ni hayo kwa leo.
Kazi njema.