Hivi Rizione kapataje nafasi ya unaibu waziri?
Kama Wana qualifications waajiriwe tu......waswahili husema kizuri kula na nduguzo.....Rais Samia amewakemea mawaziri na manaibu Waziri kuajiri ndugu au marafiki zao katika taasisi za wizara wanazozisimamia kwa kuwa zinaua taasisi
Aidha amewataka kuondoleana ‘muhali’ kwa maana ya kutooneana haya kuambiana inapotokea mtu amekosea katika utendaji wake
Rais amesema muhali na ajira za kujuana zinaua taasisi na kuwataka mawaziri wazingatie hilo