Danganya totoKUMBE SIKUHIZI AJIRA HAZIFANYWI KUPITIA TUME YA AJIRA
Kumbe!Tulimtamani rais kama mama kitambo atukombolee hii nchi yetu
Tulimtamani rais kama mama kitambo atukombolee hii nchi yetu
MuhariHivi Rizione kapataje nafasi ya unaibu waziri?
Yeye amejaza wazaramo kwenye cabinet yake ikiwa ni pamoja na mkweweRais Samia amewakemea mawaziri na manaibu Waziri kuajiri ndugu au marafiki zao katika taasisi za wizara wanazozisimamia kwa kuwa zinaua taasisi
Aidha amewataka kuondoleana ‘muhali’ kwa maana ya kutooneana haya kuambiana inapotokea mtu amekosea katika utendaji wake
Rais amesema muhali na ajira za kujuana zinaua taasisi na kuwataka mawaziri wazingatie hilo
Tatizo nyani haoni ...le.Yeye amejaza wazaramo kwenye cabinet yake ikiwa ni pamoja na mkwewe
Unatokea mchambawima,kibandamaiti ama kilimanyege!!! manake comments zako si habaTulimtamani rais kama mama kitambo atukombolee hii nchi yetu
💯Hii nchi haikomboki kwa sweettalks with cajole na ngonjera. Ni kwa vitendo tu
Hapa nakumbuka alisema hakuna mkamilifu, na anayomafaili ya mapungufu ya Kila mmoja, pia hakuna mkamilifu ila kunakupishana Kwa viwango vya ukamilifu tu. Hivyo ni kuangalia mapungufu ya kiongozi yanaathiri vipi utendaji wa majukumu yake ya msingi/kazi yake🤔.KUMBE SIKUHIZI AJIRA HAZIFANYWI KUPITIA TUME YA AJIRA
Huo ndio ukweli woteTatizo ajira hazitoshi. Ndiyo maana zinatoka kwa kujuana. Chanzo cha tatizo ni sera za ujamaa na kujitegemea ambazo zinafilisi sekta binafsi. Matokeo yake ajira zinabakia serikalini halafu ni chache kukidhi haja za ajira za mamilioni ya Watanzania.