Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,753
- 19,334
Rais ajaye asipoeliminate baadhi ya mafisadi papa kutoka CCM mtandao, basi yatamuwahi na kumueliminate yeye.
Masilahi ya kudumu ya CCM mtandao ni kubagaza na kubananga rasilimali za watanzania na yoyote atakayewapinga kufikia lengo lao hili wana mbinu zote za kumfikia na kumbomoa.
Ni either ushirikiane nao kama Rais Samia anavyofanya au wakubomoe.
Masilahi ya kudumu ya CCM mtandao ni kubagaza na kubananga rasilimali za watanzania na yoyote atakayewapinga kufikia lengo lao hili wana mbinu zote za kumfikia na kumbomoa.
Ni either ushirikiane nao kama Rais Samia anavyofanya au wakubomoe.