Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,909
- 2,477
Haina haja ya kwenda Zanzibar,Nendeni mkafanye kazi Zanzibar
Wakati mnaundiwa BAKWATA kwanini hamkuipinga kama kweli mna wasomi?
Mimi nakuambia hivii:-
Organization yoyote inayoundwa na Waislam peke yao haikui na haikomai, take it from me.
nimefanya kazi mahali penye idadi kubwa sana ya Waislam na hali ndio hiyo.
Lazima watagombana wenyewe kwa mwenyewe, watahitilafiana au watapingana katika itikadi.
Hapa Tanzania bara Waislamu wengi kuliko Wakristo.