Rais ajaye akerwe na udini kwa vitendo

Wakati wewe unasema anaudini kuna wenzako wanalalamika anaukabila.

Wakati wewe unalalamika ana udini kuna wenzako wanalalamika ana undugunazation.

Wakati wewe unalalamika anaudini kunawezako wanalalamika anaujinsia.

Wakati wewe unalalamika anaudini kunawezako wanalalamika anauchama/uccm.

Huwezipinga au ondoa udini kwa kuendekeza udini!!. "Kuajiri kwa kufuata usawa wa dini ni kuendekeza udini badala ya kupunguza.

Ajira zitolewe kwa kigezo cha taaluma/ professionalism na sio vinginevyo.
 
Wakati wewe unasema anaudini kuna wenzako wanalalamika anaukabila.

Wakati wewe unalalamika ana udini kuna wenzako wanalalamika ana undugunazation.

Wakati wewe unalalamika anaudini kunawezako wanalalamika anaujinsia.

Wakati wewe unalalamika anaudini kunawezako wanalalamika anauchama/uccm.

Huwezipinga au ondoa udini kwa kuendekeza udini!!. "Kuajiri kwa kufuata usawa wa dini ni kuendekeza udini badala ya kupunguza.

Ajira zitolewe kwa kigezo cha taaluma/ professionalism na sio vinginevyo.
Ndugu hauwezi kupinga ukweli.

Waislamu wanadhulumiwa.
 
Ndugu hauwezi kupinga ukweli.

Waislamu wanadhulumiwa
Sijui kama umenielewa!! Sipingi wala sikubali kama wanadhulumiwa! Ila hoja yangu ukitaka kuondosha udini kwenye ajira zingatia professionalism.
Tukishaanza kufikiri kwenye ajira lazima kuwe na usawa wa dini tutaharibu badala ya kujenga
 
Sijui kama umenielewa!! Sipingi wala sikubali kama wanadhulumiwa! Ila hoja yangu ukitaka kuondosha udini kwenye ajira zingatia professionalism.
Tukishaanza kufikiri kwenye ajira lazima kuwe na usawa wa dini tutaharibu badala ya kujenga

Basi hiyo professionalism haizingatiwi hapa tz tokea zamani ndio maana imesababisha imbalance.
 
Naukifanya kazi au biashara huku ukiwa na dhana kuwa waislam wanaonewa utapata tabu sana, hutoweza kufanikiwa, kama una duka unahitaji wateja wakristo na waislam, kama una shule unahitaji wanafunzi wakristo na waislam, kama una basi la abiria unahitaji abiria wa dini zote.

So ukileta udini kwenye shughuli zako ziwe za kiserikali ama binafsi hutokaa upige atua, muone binadamu yeyote aliye mbele yako kama ndugu na fursa ya wew kufanya kazi vizur zaidi na kufikia malengo yako, kama boss wako ni wa dini tofauti muonyeshe kuwa una uwezo kwa kupitia kazi zako na siyo dini yako ndugu yangu, unachelewa sana kulitambua hili.
 
Naukifanya kazi au biashara huku ukiwa na dhana kuwa waislam wanaonewa utapata tabu sana, hutoweza kufanikiwa, kama una duka unahitaji wateja wakristo na waislam, kama una shule unahitaji wanafunzi wakristo na waislam, kama una basi la abiria unahitaji abiria wa dini zote, so ukileta udini kwenye shughuli zako ziwe za kiserikali ama binafsi hutokaa upige atua, muone binadamu yeyote aliye mbele yako kama ndugu na fursa ya wew kufanya kazi vizur zaidi na kufikia malengo yako, kama boss wako ni wa dini tofauti muonyeshe kuwa una uwezo kwa kupitia kazi zako na siyo dini yako ndugu yangu, unachelewa sana kulitambua hili.
Usawa huu haupo ndio maana wafanyakazi wakiislamu wachache sana tena sana serekalini.
 
Usawa huu haupo ndio maana kuna wafanyakazi wakiislamu wachache sana tena sana serekalini
Dunia haina usawa kwa mtu mzembe anayelialia, ukijipambanua kiutendaji dunia itakuona, kanisani kwetu mlinzi ni muislam, siyo kwamba hakuna mlinzi mkristo lah!

Ni kwamba huyu muislam kaonyesha weledi kwenye ulinzi na kapewa na analisha familia kwa kazi hiyo, nimetoa mfano huo japo najua watakuja kulalamika kuwa kwanini muislam hasiwe padre au mchungaji akawa mlinzi
 
Hamna kitu impossible kwa Mungu.

It is just a matter of time, things will change for better In Sha Allah.
Hata Mkimwomba Mungu usiku na mchana bila kuchukua hatua ya kusoma na kuinvest ni kazi bure
 
Kanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.

Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu.

Ukifika kwenye ofisi za umma utakuta Mtumishi kaweka kwa sauti music wa dini fulani na watu hawahoji.

Hii sio bahati bahati mbaya Wala coincidence. Ikumbukwe kuwa mishahara ya ajira na posho za vikao na mikutano ndizo zinazokwenda kuwekezwa kwenye elimu za watoto na maendeleo ya familia za watu waliopewa fursa ya ajira na kuhudhuria mikutano na kupata hela.

Hii inasababisha maisha na familia za jamii inayooatiwa fursa hizi kuwa mbele kimaisha na kielimu. Hivyo familia za wanufaika kuendelea kutoa watumishi bora na wenye elimu shindani na wale wanaonyimwa fursa kuendelea kutoa watu wasiokuwa bora na elimu shindani kwenye ajira, "vicious circle"

Rais anayekuja lazima azimulike ofisi zote za umma na taasisi, washa, mikutano na workshops na teuzi zote ili kujiridhisha na uwiano wa kidini pia baada ya vigezo vingine kukamilika.

Taasisi zetu za dini hazijui kazi zao au zinaogopa kutimiza kazi zao? Au ni hayo hayo matokeo ya kukosa fursa za elimu kwa njai hii?

Rais ajae pamoja na Mambo mengine ya jumla lakini autazame pia huu ufa kwenye taifa.
Haya ni Mawazo Muflisi kabisa kwenye Karne hii. Kwani akiwa rais wa dini yako wewe binafsi na familia yako mnafaidikaje... watu wanye mawazo ya design hii mara chache sana kuweza kuwa na maendeleo..kuanzia elimu hata uchumi..badilika Mtanzania mwenzangu...
 
Wazee wa kulialia na kulalamika.

Tumeshawazoea ninyi, endeleeni kutawadha tu badala ya kuinvest vizuri katika Elimu

Ni haki yao walalamike maana hata wao ni walipa kodi wa nchi hii pia. Wanastahili kutendewa haki!

Nyie mna TEC ya kuwasemea, wao wana BAKWATA waliyoundiwa na kulazimishiwa na serikali ili wasifurukute, wakiunda vyombo vingine Serikali inavihujumu!

Kiukweli Waislamu nchi hii wanafanywa second class citizens. Ukishakuwa na jina la Kiislamu basi chance yako ya kupata ajira au teuzi ni ndogo sana, Na huu ndo mfumo Kristo wenyewe unaosemwa kila siku.

Jiwe ni mdini aliyepitiliza
 
Mama samia ni dini gani?
.kassim Majaliwa?
.
Jaji mkuu?
Wewe ni mpumbavu

Sasa wewe unaongelea hao?

Serikali ni kubwa kuliko hao,kiufupi ni kwamba kuna mawaziri, manaibu waziri, makatibu wakuu, makamishna, wakurugenzi, wenyeviti wa bodi, makatibu tawala wa mikoa, makatibu tawala wilaya n. k
Kote huko waislamu ni wachache sana mpaka aibu!. Nchi hii inanuka udini wa kimya kimya!
 
Back
Top Bottom