SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,975
- 75,064
TanganyikaCCM bara au visiwani?
TanganyikaCCM bara au visiwani?
Naona wewe unakosea, Iwe hivi:Kanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.
Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu...
Naunga mkono hoja, Jiwe ni mdini mpaka anatia aibu.
Kawanyina nafasi za utumishi serikali mpaka inashangaza sana
Mmmh!! Umefika mbali, maada Ni kuhusu ajira ambako walioajiriwa Wana chanzo Cha Mapato kisichotetereka kinachotokana na Kodi za walipa Kodi wote nchini. Mtu mwenye ajira ana uhakika wa kipato na uhakika wa kupata mikopo.Naona wewe unakosea,
Iwe hivi
Maduka yawe kwa uwiano
Shule kwa uwiano
Bar kwa uwiano..
Umeongea kwa staha na tahadhari kubwa sana mkuu. Bahati mbaya hautasikika. Watakaokusikia watakuita wewe ndio mdini na hilo unalotaka lifanyike halitaweza kutekelezwaKanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.
Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu...
Tusipombadilisha aliyepo waislamu wataendelea kuachwa.Kanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.
Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu...
Nikitoka tu job napitia Mandela road naingia mitaa ya river side napiga safari mbili baridiiii na kitimoto safi na kachumbali. Jana nimelipia wanangu adaUshauri kwenu nyie wa hiyo dini
1) kuwekeza kwenye elimu ya mtoto wako sio lazima uwe umeajiriwa na kulipwa posho za semina kama ulivyosema hapo juu. Sasa ivi watu wengi wanajishughulisha na biashara pamoja na kilimo ambazo zinawaingizia pesa nyingi tu. So kuwekeza kwenye elimu ni wewe mwenyewe tu
2) Zanzibar mpo karibu 99% ya watu wote wanaoishi huko na hivyo dini hiyo ndio waliojaa kwenye hizo ofisi huko zanzbar, sasa kwa nn msiwe mfano huko zenj kwa kuwekeza kwenye elimu ikiwa nyie mpo wengi sana kwenye ajira huko?? Hebu tueleze hadi sasa mna vyuo vikuu vingapi na bora?...



wewe wanena kwa mafumbo, sema tu Rais ajae aweke mfumo wa uwiano sawa kwenye ajira na elimu kati ya wakristo , waislam na wapagani unazunguuuuka! unaogopa kutaja dini na utamaduni wa kijinga wa wabongo kuficha ficha mambo wakati baba yetu kashafungua njia akimtumbua mlevi anasema huyu mlevi akimtumbua anaejidai boss sana anasema, wewe umekwama wapi mkuu?Kanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.
Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu...
Unaongea kujifurahisha alafu ukale kitimoto, jiulize enzi hizo kwanini ulibadilishwa mfumo wa mitihani kutoka jina kwenda kwenye namba? Jiulize ile tume iliyoundwa na jk kipindi kile kupima ufaulu wa wanafunzi katika dini ya kiisalm walikuja na majibu gani?
Na ndio silaha yenu eti waislam hawajasoma ndio maana hawateuliwi, hakuna uthibitisho juu ya hili angalia msomi kama prof assad alivyovuliwa cheo chake unadhani kisa nini? Kumbuka Ramadhani dau alikuwa anashambuliwa nini?
wewe ndio mpiga mapambio ofisiniKuongelea udini Karne hii ni kukosa hoja ya msingi kwa jamii ya kitanzania.
vicious cycleNdugu zetu hawawezi kuwa sawa na sisi. Tatizo lao kubwa, wanawafundisha zaidi vijana wao Elimu Ahera zaidi ya Elimu Dunia. Si Jambo baya, lakin wanakosa ujuzi kutokana na kuwa na Elimu ndogo. Nakubali kuwa, wengi wao waliobahatika kutoboa, wako vizuri kichwani and their good leaders japo itikadi huwa zinawazidi.
Chukulia mfano, Kati ya wanafunzi mia mbili wa Udaktari wanaodahiliwa kila Mwaka na Chuo Kama Muhimbili, Hawa ndugu zetu huwa hawazidi ishirini...
Siongei kujifurahisha, nawashauri tuu ndugu zangu. Japo ni mla Kitimoto lakini ushauri wangu Kama ukiweka hisia pembeni una maana, baniani mbaya kiatu chake dawa. Ni kweli ulibadilishwa mfumo toka kutumia majina mpaka namba,na Mwenyekiti wa NECTA akapewa mtu wa dini yenu Safi.Unaongea kujifurahisha alafu ukale kitimoto, jiulize enzi hizo kwanini ulibadilishwa mfumo wa mitihani kutoka jina kwenda kwenye namba? Jiulize ile tume iliyoundwa na jk kipindi kile kupima ufaulu wa wanafunzi katika dini ya kiisalm walikuja na majibu gani?
Na ndio silaha yenu eti waislam hawajasoma ndio maana hawateuliwi, hakuna uthibitisho juu ya hili angalia msomi kama prof assad alivyovuliwa cheo chake unadhani kisa nini? Kumbuka Ramadhani dau alikuwa anashambuliwa nini?
Sasa mkuu, ili kuvunja vicious circle hii nini kifanyike? Watu wa dini Ile Wana shule nyingi sana, tatizo ni sifa ya Elimu inayofundishwa hapo. Kwa mfano, kwa Dar tuu, karibu kila mtaa Wana Seminary. Lakini uliza wanafunzi wanaotoka hapo wanaenda wapi? Quality ya Elimu inayotolewa na shule hizo ikoje?Wakijenga shule nzuri watasoma watoto wale wa kule pia kwani wazazi wao ndio wenye ajira, wenye teuzi na wanaohudhuria semina na workshops kila Mara hivyo wanaweza kulipa ada kwenye shule bora zisizoweza kushindana na zike za kata. Hivyo hutashangaa kuona wanaokwenda vyuo vikuu wengi wao Ni wale wanaotokakwenye zile shule bora na ghari. Hawa ndio watakaovijaza vyuo vikuu huko muhimbili unakosema. Tatizo sio watoto Bali wazazi wao na wazazi wao sio tatizo Bali waliotoa fursa bila kuzingatia
Hivi Zanzibar ambako Serikali na wafanyakazi wake wote Ni Waislam, shule zake zina perform vipi zikilinganishwa na za Tanganyika?a Kama hujui, performance ya elimu Zanzibar Ni Duni sana!Hebu kula waziri aagize orodha za watu waliohudhuria kwenye semina, workshops nk zote zilizofanyika mwaka huu tu aone Ni akina Nani wamealikwa, kuhudhuria na kulipwa posho. Baada ya kulipwa posho si wanaenda kulipia ada za watoto wao? Kununua kiwanja? Kufuga kuku? Kupiga rangi nyumba zao?
Tatizo la Uislam na Waislam Ni Ultra-conservatism,yaani uhafidhina uliopitiliza kiasi kwamba hata elimu na mifumo ya Dunia ya kisasa wanaoona inaendana kinyume na maagizo ya mtume wao kwa hiyo haifai.Ushauri kwenu nyie wa hiyo dini
1) kuwekeza kwenye elimu ya mtoto wako sio lazima uwe umeajiriwa na kulipwa posho za semina kama ulivyosema hapo juu. Sasa ivi watu wengi wanajishughulisha na biashara pamoja na kilimo ambazo zinawaingizia pesa nyingi tu. So kuwekeza kwenye elimu ni wewe mwenyewe tu...
Hivi mkuu, kipindi Cha Kikwete Waislam walikuwa na afadhali gani ukilinganisha na kipindi cha Magufuli? Au kipindi Cha Mwinyi walikuwa na afadhali gani ambazo Sasa hazipo?mada za hivi ndiyo mada pekee ambazo wapinzani wa Magufuli huungana naye kwa sababu ya udini
Sasa mkuu, ili kuvunja vicious circle hii nini kifanyike? Watu wa dini Ile Wana shule nyingi sana, tatizo ni sifa ya Elimu inayofundishwa hapo. Kwa mfano, kwa Dar tuu, karibu kila mtaa Wana Seminary. Lakini uliza wanafunzi wanaotoka hapo wanaenda wapi? Quality ya Elimu inayotolewa na shule hizo ikoje? Fanya simple survey,
Tatizo la Uislam na Waislam Ni Ultra-conservatism,yaani uhafidhina uliopitiliza kiasi kwamba hata elimu na mifumo ya Dunia ya kisasa wanaoona inaendana kinyume na maagizo ya mtume wao kwa hiyo haifai.expand...