Raia wa Marekani wamekiri kuwa vikwazo walivyowekewa Urusi vinawaathiri wao zaidi kuliko Urusi

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Raia wa marekani wamejikuta wao ndio wamekuwa wahanga wakubwa wa vikwazo alivyowekewa urusi. Pesa ya Urusi imeongezeka thamani baada ya vikwazo kuliko ilivyokuwa kabla ya vikwazo. Hii ni kinyume kabisa cha matarajio ya nchi za magharibi. Wakati huo huo pesa ya marekani imeshuka thamani kwenye soko la fedha baada ya vikwazo kuliko ilivyokuwa kabla ya vikwazo. Hali hii inamfanya Biden kukalia kuti kavu!!

Sanctions hurt US more than Russia – poll​

Most Americans focused on economic woes at home, more than two in five of respondents indifferent to Ukraine's fate

Joe Biden speaks at the North America's Building Trades Unions (NABTU) Legislative Conference in Washington, DC, April 6, 2022 ©
A new poll has found that 53% of Americans believe that sanctions on Moscow hurt the US more than Russia. Amid soaring gas prices and rising living costs, voters are losing confidence in US President Joe Biden’s leadership, and 43% say they’re “OK” with Ukraine losing its ongoing conflict with Russia.

With inflation at a 40-year peak and gas prices near record highs, the Democracy Institute/Express.co.uk poll revealed that Biden is polling negatively in all policy areas, with foreign policy the worst. Some 56% disapprove of his handling of foreign matters, compared to 40% approving. On Ukraine specifically, only 38% approve of his stewardship, while 52% disapprove.

The Biden administration has attempted to blame Russia and its president, Vladimir Putin, for the rising cost of living at home, with his officials repeatedly referring to “Putin’s price hike.” However, living costs were rising for months before Russia sent troops into Ukraine, and voters are pointing the finger at Biden for their economic woes.

Some 50% said they’d back Republicans in November’s midterm elections, compared with 42% saying they’d vote Democrat. In addition to more voters being “OK” than “not OK” with Ukraine losing the conflict with Russia (43%-41%), a majority of Americans think it would be better for Biden to leave office than for Putin to step down, by 53% to 44%.
 
Halafu mikakati yaUrusi imeanza kuwatisha! Awali nchi za magharibi ziliona kuwa wakimsaidia silaha nyingi ukraine, itasaidia vita kuchukua muda mrefu kwa matumaini kuwa vita ikichukua muda mrefu itasaidia kuikatisha tamaa urusi. Kinyume chake kwa sasa mikakati ya Urusi ni kupigana vita kwa uangalifu na kwa taratibu zaidi ili vita ichukue muda mrefu sana!! Muda wote huo wananchi wa nchi za magharibi watakereka na upandaji wa maisha na watawageuka watawala wao. Kwa sasa hiyo ndiyo hofu kubwa ya nchi za magharibi!

US intelligence estimates Russia’s plans for Ukraine​

America’s spy agencies reckon Vladimir Putin is preparing for a “prolonged” conflict, and wants to seize territory
US intelligence estimates Russia’s plans for Ukraine

Director of National Intelligence Avril Haines testifies during a Senate Armed Services hearing on Capitol Hill in Washington, DC, May 10, 2022 © AP / Jose Luis Magana
Director of National Intelligence Avril Haines told Congress on Tuesday that, in the view of the US’ spy agencies, Russian President Vladimir Putin was gearing up for a “prolonged” conflict in Ukraine, and was looking to establish control of Ukraine’s southern coast, from the Donbass in the east to Transnistria in the west.
“We assess President Putin is preparing for a prolonged conflict in Ukraine during which he still intends to achieve goals beyond the Donbass,” Haines told a hearing of the Senate Armed Services Committee.
 
Back
Top Bottom