Sio kila mwanamke anawaza kuchumbiwa.
Itatusaidia nini sasa? Kujua mme wake
Hajakosea kitu, na yuko safi hata kwa nafasi ya kwanza wacha hiyo ya pili. Lakini ukiwa kiongozi lazima uwe wa mfano. Hapo alipo akisimama ni Tz ndiyo imesimamaKabisa...this is so pathetic. Makamu wa Rais amewakosea nini?
Ameyumbia wapi? Serious mambo mengine hayana tijaHajakosea kitu, na yuko safi hata kwa nafasi ya kwanza wacha hiyo ya pili. Lakini ukiwa kiongozi lazima uwe wa mfano. Hapo alipo akisimama ni Tz ndiyo imesimama
Mwandishi aliona shida hata kutafuta usahihi wa hicho 'kihabari' chake kwenye vyanzo mbalimbali.Wikipedia.. (copy & paste)
Personal life
In 1978, she married Hafidh Ameir, at present a retired agricultural officer. They have four children.[2] Her second born, Wanu Hafidh Ameir (born 1982), is a special seat member of the Zanzibar House of Representatives
huu ni ujinga uliopitiliza.Povu la nini? Kana hana mume au anaye isemwe...
Anaongoza ninimmeanza choko choko kwenye familia za watu. km anaongoza vizur suala mume ni lake
Akili ishirikishwe walau sehemu ndogo tuu pale tuandikapo jambo.Tutamjua sasa maana wamemwaga ugali sasa tutashuhudia mboga nayo ikimwagwa
Mawazo mfu. Mnapenda sana kuheshimiwa lakini utu na heshima za wengine hazina maana kwenu.Lakini mwanaume hazuiwi kwenda kuchumbia. Ni bora wajue ili wakienda awakatae mwenyewe.
Akili zao tu mbovu,uhuru gani wanautaka,kuna habari za kilimo na uvuvi nyingi tu zinaweza kuwasaidia vijana kujiajiriFikirieni pia kwa nini waandishi wanakosa habari.ni hizi sheria za ajabu ajabu walizotunga awamu ya tano.waandishi wanalazimika kuandika utumbo tu,maana hakuna uhuru
Mwananchi !??Gazeti bora Tanzania ni Mwananchi na Nipashe Tuu
Ovaaaa